Kenya kusafirisha "crude oil" mapipa laki 4 tu kwa mwaka mzima, Tullow yapunguza kuwekeza kwa asilimia sabini

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613

Tuliwaambia kwamba tabia ya Kenya kupenda kukurupuka katika miradi kutawapeleka pabaya sana wakenya, wengi mlibisha, sasa hiki kichekesho cha kusafirisha mapipa laki 4 kwa mwaka wakati waganda wanategemea kusafirisha laki 2 kwa siku mnajisikiaje?.

Mapipa laki 4 kwa mwaka ni sawa na mapipa mangapi kwa siku?. Tafadhali sana wakenya, jaribuni kuwa "serious " wakati mkipanga hii miradi yenu, acheni kukurupuka, matokeo yake 50% ya miradi inakwama bila kukamilika(IMF), inayokamilika ndio hii inakua ni "white elephant".

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tuliwaambia kwamba tabia ya Kenya kupenda kukurupuka katika miradi kutawapeleka pabaya sana wakenya, wengi mlibisha, sasa hiki kichekesho cha kusafirisha mapipa laki 4 kwa mwaka wakati waganda wanategemea kusafirisha laki 2 kwa siku mnajisikiaje?.

Mapipa laki 4 kwa mwaka ni sawa na mapipa mangapi kwa siku?. Tafadhali sana wakenya, jaribuni kuwa "serious " wakati mkipanga hii miradi yenu, acheni kukurupuka, matokeo yake 50% ya miradi inakwama bila kukamilika(IMF), inayokamilika ndio hii inakua ni "white elephant".

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo mgumu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo mgumu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kawaambia waanze kusafirisha kabla hawajawekeza ktk miundombinu?, crude oil kusafirishwa kwa malori ni ukichaa unaofanywa na nchi za hovyo kama Kenya pekee, lazima uwekeze ktk " pipeline" kwanza kabla ya kufikiria kusafirisha, vinginevyo lazima utapata hasara na " investors" watakimbia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kawaambia waanze kusafirisha kabla hawajawekeza ktk miundombinu?, crude oil kusafirishwa kwa malori ni ukichaa unaofanywa na nchi za hovyo kama Kenya pekee, lazima uwekeze ktk " pipeline" kwanza kabla ya kufikiria kusafirisha, vinginevyo lazima utapata hasara na " investors" watakimbia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyani haoni kundule Ile pipeline deal yenu kwani msha mlimaliza ujenzi?
Naskia investors walikimbia.
 
According to some credible intelligence breifs your railway is heading no where.
IMG_20200117_205351_499.jpg
 
Kwani ni uongo? Nyie hamtawahi zalisha mafuta.
Sisi tunazalisha dhahabu, 3rd country in Africa, tuna Natural gas 60trl cubic Metres, hatuhitaji mafuta, hayo yenu ni mafuta au harufu ya mafuta?, pipa laki 4 kwa mwaka ni sawa na kiwango cha mkojo unazalishwa na nguruwe ninaofuga kwa mwaka. Hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tuliwaambia kwamba tabia ya Kenya kupenda kukurupuka katika miradi kutawapeleka pabaya sana wakenya, wengi mlibisha, sasa hiki kichekesho cha kusafirisha mapipa laki 4 kwa mwaka wakati waganda wanategemea kusafirisha laki 2 kwa siku mnajisikiaje?.

Mapipa laki 4 kwa mwaka ni sawa na mapipa mangapi kwa siku?. Tafadhali sana wakenya, jaribuni kuwa "serious " wakati mkipanga hii miradi yenu, acheni kukurupuka, matokeo yake 50% ya miradi inakwama bila kukamilika(IMF), inayokamilika ndio hii inakua ni "white elephant".

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata waganda nao yatawakuta yakiowakuta wakenya, hiyo nikawaida ya makampuni yanayo tafiti mafuta na gesi kwa kuwaingiza mkenge nchi za kiafrica.
Utawaskia wakisema mafuta yamegunduliwa, uzalishaji utakuwa kwa siku mapipa milioni 2, kumbe hamna lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kawaambia waanze kusafirisha kabla hawajawekeza ktk miundombinu?, crude oil kusafirishwa kwa malori ni ukichaa unaofanywa na nchi za hovyo kama Kenya pekee, lazima uwekeze ktk " pipeline" kwanza kabla ya kufikiria kusafirisha, vinginevyo lazima utapata hasara na " investors" watakimbia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mafuta ya Kenya ni Kiduchu sana, ukisafirisha kwa pipeline yatakaukia njiani.
 
Mafuta ya Kenya ni Kiduchu sana, ukisafirisha kwa pipeline yatakaukia njiani.
Hii tabia ya kujisifia kwamba wameungana na kundi LA nchi zinazzalisha mafuta kwa wingi duniani ni ukichaa au ni nini?, South Sudani husafirisha pipa laki 6 kwa siku, hawa nyang'au huafirisha pipa 15 kwa siku eti wanasema wameingia katika kundi LA " oil exporters", huu ulimbukeni utawatoka kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom