Kenya kujenga kituo cha Umeme wa Nyuklia chenye kugharimu dola Bilioni 5 na kuzalisha Megawati 4000

Watz wacheni kupoteza mb zenu bure na huu Uzi kwani amjui kuwa hizi some changing in is a
 
Japan walizima vinu vyote vya nuclear lakin nyie ndio mnavikimbilia,kikibuma kukipooza madhara yake ni makubwa sana
Japan closed their nuclear power sights not because nuclear power is bad in fact many environmentalists have come to accept that nuclear might be the most sustainable 0 emissions energy source if we are to reduce global warming and carbon emissions by 2040.
Now here is some education, Japan closed their nuclear power plants for inspection, because Japan lies on a seismically active continental plate where earth quakes and tsunamis are frequent.

NB: They have started reopening the nuclear power plants that have so far passed tests. By July 12, 2018, five plants with a total of nine reactors met the new standards: Ōi and Takahama (Kansai Electric Power Company), Genkai and Sendai (Kyūshū Electric Power Company), and Ikata (Shikoku Electric Power Company). These are all based in western Japan and are pressurized water reactors, thereby differing from the boiling water reactors at the Fukushima Daiichi plant operated by Tokyo Electric Power Company (TEPCO), where the accident occurred.

Advice: Do research before talking about things you do not know about.

I know you do not understand even 25% of what I have written, but you can ask MK254 to translate it for you into Kiswahili. He is better than me at writing in Kiswahili.
 
Kenya kujenga kituo cha umeme wa nyuklia chenye kugharimu dola bilioni 5 kinu hicho kinatarajiwa kuwa kitazalisha umeme wa Megawati 4000

Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya (NuPEA) limewasilisha ripoti kuhusu mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa nyuklia ambacho ujenzi wake unatazamiwa kugarimu dola bilioni 5.

Kwa mujibu wa tovuti ya Bloomberg, ujenzi wa kituo hicho unakaribia kuanza na kitazinduliwa katika kipindi cha miaka saba ijayo.

Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya limewaswilisha ripoti ya ujenzi huo kwa Shirika la Kitaifa la Usimamizi wa MazingiraKenya (NEMA) huku ripoti zikisema serikali ya Kenya inapanga kuzalisha megawati 4,000 za nishati ya nyuklia ifikapo mwaka 2035.

Baada ya NuPEA kuwasilisha ripoti hiyo kwa NEMA, wananchi wa Kenya wanatazamiwa kujadili masuala ya kimazingira yanayohusiana na ujenzi wa kituo hicho cha nyuklia.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza azma ya kuhakikisha kuwa uzalishaji umeme wa Kenya unaimarishwa kutoka megawati 2,712 hivi sasa hadi megawati 22,000 ifikapo mwaka 2031 ili kuimarisha sekta ya viwanda katika nchi hiyo yenye uchumi mkubwa zaidi mashariki mwa Afrika. Kituo hicho cha nyuklia nchini Kenya kinatazamiwa kujengwa katika Kaunti ya Tana River iliyo katika eneo la pwani
Construction of a new reactor costs is between 2500$ - 4000$ per Kilowatt. That means for a 4000megawat reactor the cost will be btn US$10b-US$16b. I wonder if five billion $ seems feasible.
 
Mulisema hivyo kwa sgr, Lamu port, Mombasa port expansion,Nairobi expressway etc. Lakini mungu ni nani, anazidi kuaibisha kamati ya roho mbaya na wachawi. Na bado mujitayarishe kupiga ramli usiku na mchana maana Kenya haismami.
Hamwezi ruhusiwa weka hyo kitu...malizaneni na alshabaab kwanza..

Kenya ni inchi maskin sana dunian ingawa wananchi wake hawatak kubali hilo...tunu yenu ya taifa iliyobak ni kuongea kizungu tuu...lugha ya aliewatawala na kuwachapa viboko...what a proud kenyan.
 
Dah....Safi sana Kenya...mko vizuri sana...Afrika ya kusini wanajenga 4000MW kwa $14 billion lakini Kenya ni $5b tu...mkikimilisha tutaomba mtujengee na Bongo pia
 
Wasiweke karibu na mpaka tu, waweke huko katikati. Wengine wanafunga hivyo vinu wao wanajenga. Hawajawahi kusikia ya Fukushima.
Kwa jinsi unavyoongea, huenda wewe ni katibu wa ile kamati ya roho chafu. Pole kwa maumivu lakini
 
Dah....Safi sana Kenya...mko vizuri sana...Afrika ya kusini wanajenga 4000MW kwa $14 billion lakini Kenya ni $5b tu...mkikimilisha tutaomba mtujengee na Bongo pia
Hii Ni Serikali yao inajaribu ku-buy time for on going private investment projects to finalize in their country.. maana Kama wawekezaji wakisikia Nyerere HYDRO Power Project na SGR wanaweweseka na wanaweza kubadili gia angani kama wajumbe... Saving face and by lying.
 
Japan walizima vinu vyote vya nuclear lakin nyie ndio mnavikimbilia,kikibuma kukipooza madhara yake ni makubwa sana
Japan Nchi ya Earthquakes, Tsunamis na Volcanic eruptions haina budi kuvifunga...hapana sikilia Kenya wivu. These plants can be converted to fusion reacters in the future.
 
Japan Nchi ya Earthquakes, Tsunamis na Volcanic eruptions haina budi kuvifunga...hapana sikilia Kenya wivu. These plants can be converted to fusion reacters in the future.
Siwaonii wivu kwakua maono ya nuclear plant hata Tz iko nayo na tuna Uranium hapa... nmetoa maoni yangu tu wewe umeyatafsiri kama wivu...Kwani before kujenga hawakujua kua wanaishi maeneo yenye hatari zaidi ya volcano and earth quakes
 
Siwaonii wivu kwakua maono ya nuclear plant hata Tz iko nayo na tuna Uranium hapa... nmetoa maoni yangu tu wewe umeyatafsiri kama wivu...Kwani before kujenga hawakujua kua wanaishi maeneo yenye hatari zaidi ya volcano and earth quakes
Hio ndio ilikuwa the best tech ya kutengeneza umeme siku hizo so hawakuwa na otherwise...next ni Nuclear Fusion.
 
Hio ndio ilikuwa the best tech ya kutengeneza umeme siku hizo so hawakuwa na otherwise...next ni Nuclear Fusion.
Wenyewe kwa sasa wanatumia zaidi petroleum products kufua umeme,last time I checked walikua ndio one amongst the largest importer wa iyo bidhaa
 
Wawekee hizo plant za nyuklia upande wa somali tu kule ili yakilipuka hayo makinu yawalipukie maadui zao akina alishababu.... Ila wasituletee upuuzi wao huu upande huku.....
 
Back
Top Bottom