Kenya kuchuana na Tanzania katika mechi ya kirafiki 29 April16

Xplorer

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
607
857
Timu ya Taifa ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Kenya Huko Nairobi mnamo tarehe 29th May 2016.

Uwepo wa mchezo huu tayari umeshathibitishwa na chama cha sola cha kenya na tanzania kupitia Football Kenya Federation Chief Executive Officer (CEO) Robert Muthomi na President of Tanzania Football Federation Jamal Malinzi.

Mechi hii itakuwa ni kwaajili ya kujiandaa na match day 5 ya kufuzu AFCON 2017 inayotarajiwa kuanza kati ya June 3-5, ambapo Kenya itacheza na Congo Brazzaville tarehe 3 huko Nairobi wakati Tanzania itawakaribisha mabingwa mara 7 wa michuano hii Egypt tarehe 4.

Baada ya kuwachapa wakenya kwenye bomba la mafuta ngoja sasa tuwafate hukohuko kwao tukawachape tena vizuri.
 
Timu ya Taifa ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Kenya Huko Nairobi mnamo tarehe 29th May 2016.

Uwepo wa mchezo huu tayari umeshathibitishwa na chama cha sola cha kenya na tanzania kupitia Football Kenya Federation Chief Executive Officer (CEO) Robert Muthomi na President of Tanzania Football Federation Jamal Malinzi.

Mechi hii itakuwa ni kwaajili ya kujiandaa na match day 5 ya kufuzu AFCON 2017 inayotarajiwa kuanza kati ya June 3-5, ambapo Kenya itacheza na Congo Brazzaville tarehe 3 huko Nairobi wakati Tanzania itawakaribisha mabingwa mara 7 wa michuano hii Egypt tarehe 4.

Baada ya kuwachapa wakenya kwenye bomba la mafuta ngoja sasa tuwafate hukohuko kwao tukawachape tena vizuri.
Bomba la mafuta lina uhusiano gani na mchezo wa soka? Hebu tuongelee michezo hizo propaganda zina sehemu yake.
 
Naona hapo fursa ya kuweka wazi na kwa njia ya mfano ule msemo "kichapo cha mbwa".
 
Timu ya Taifa ya Tanzania imetua salama. jijini Nairobi kwaajili ya mechi ya kirafiki na Harambee star..
 
Kati ya tv station za hovyo duniani ni TBC hata wakisema hatuna uzalendo bora iwe hivyo.poor tbc
 
Timu ya Taifa ya Tanzania inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na Kenya Huko Nairobi mnamo tarehe 29th May 2016.

Uwepo wa mchezo huu tayari umeshathibitishwa na chama cha sola cha kenya na tanzania kupitia Football Kenya Federation Chief Executive Officer (CEO) Robert Muthomi na President of Tanzania Football Federation Jamal Malinzi.

Mechi hii itakuwa ni kwaajili ya kujiandaa na match day 5 ya kufuzu AFCON 2017 inayotarajiwa kuanza kati ya June 3-5, ambapo Kenya itacheza na Congo Brazzaville tarehe 3 huko Nairobi wakati Tanzania itawakaribisha mabingwa mara 7 wa michuano hii Egypt tarehe 4.
Mkuu naomba nitofautiane na wewe, hukuwatendea haki Wakenya kuhusu hilo bomba la mafuta. Tunalo bimba la mafuta la Tanzania na Zambia limetusaidia nini?

Pamoja na mapungufu hayo ya mtoa mada, tunawaomba wakuu mlio kando ya TV zenu kuendelea kutujuza yanayotokea huko uwanjani, wengine hatuwezi kuuona mchezo huo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
 
Mkuu naomba nitofautiane na wewe, hukuwatendea haki Wakenya kuhusu hilo bomba la mafuta. Tunalo bimba la mafuta la Tanzania na Zambia limetusaidia nini?

Pamoja na mapungufu hayo ya mtoa mada, tunawaomba wakuu mlio kando ya TV zenu kuendelea kutujuza yanayotokea huko uwanjani, wengine hatuwezi kuuona mchezo huo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
haswaa manake tanesco huku Arusha washafanya yao
 
Half time Tanzania 1-1 Kenya , Shiza kichuya kamkwatua mtu kwenye 18 tukapigwa Kwa penalt na Victor wanyama
 
Kiukweli kiwango cha timu yetu hakionekani, yani pasi nyingi zinapotea tu.
 
Back
Top Bottom