Kenya kama sehemu ya Afrika iko vizuri: Numbers are speaking the truth. Unfortunately leaders are over-reacting

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,036
Kenya kama sehemu ya bara la Afrika haijakumbwa na corona kwa kiasi kikubwa. Kwa bahati mbaya sana viongozi wa ngazi za juu aidha kwa bahati mbaya au kwa makusudi wamekubali kucheza ngoma inayopigwa na wazungu ( Ulaya na USA), bila kujali hiyo ngoma inawaumiza kiasi gani wananchi bila sababu ya msingi.

Ninakubali COVID 19 ipo na ni tishio. Lakini lazima kuchukua hatua zinazolingana na ukubwa wenyewe kwa kuzingatia hali halisi ya Kenya.

Ili tusibishane let us allow the numbers to speak!

A. Jumla ya maambuzi mpaka sasa kwa kila continent: Number of cases per million of population
1. North America 3,090
2. Europe 2569
3. South America 1072
4. Oceania 203
5. Asia 177
6. Africa 67.

Data hizo hapo juu ni kwa kila continent.

Hizo namba zinazungumza hivi:
1. North America imeathirika kwa COVID 19 mara 67 zaidi kuliko Afrika.
2. Europe imeathirika mara 38 zaidi kuliko Afrika.
3. South Africa imeathirika mara 16 zaidi kuliko Afrika.
4. Oceania imeathirika mara 3 zaidi kuliko Afrika.
5. Asia imeathirika mara 2.6 zaidi kuliko Afrika.

Ushahidi wa namba unaonyesha kuwa Haiwezekani Afrika ichukue hatua kupambana na corona kama inavyofanya North Amerika. North Amerika lazima ichukue hatua ngumu zaidi mara 67 kuliko Afrika! Na Afrika lazima ichukue hatua nyepesi mara 67 zaidi kuliko North America. Cha kushangaza na ambacho hakikubaliki ni kuzilazimisha nchi za Afrika zichukue hatua kwa ugumu huo huo kama Marekani na ulaya!! Wao wakifanya lockdown na nyie mnaambiwa fanya lockdown!!
TATTIZO ni kwamba wazungu wanataka hatua walizochukua wao kupambana na corona zichukuliwe na Afrika hata kama tatizo la corona kwa Afrika si kubwa kama huko kwao!

Labda nitoe mfano ili nieleweke kwa urahisi: Wazungu ni sawa na mtu anayekulazimisha ununue petrol lita 100 ili utembee kwa gari lako la cc 650, kwa sababu tu yeye alitumia lita 100 kutembea umbali huo kwa gari lake la cc 4500!! Kwa kuwa yeye ameumia kwa kununua petroli nyingi anataka na wewe uumie pia japo wewe huhitaji petroli nyingi kiasi hicho kutembea umbali huo maana gari lako halihitaji wingi huo wa mafuta kutembea umbali huo!

Africa wake up! Just say enough is enough!! Halafu tukigombana sisi majirani kwa tatizo ambalo halipo kwa kiwango hicho, wazungu wanatudharau sana!!

Unapolazimishwa utumie nguvu kubwa kwa tatizo dogo ili tu ulingane gharama na yeye aliyetumia nguvu kubwa kwa tatizo kubwa mara 67 kwa nini usiseme HAPANA!

Magufuli kasema HAPANA na wengine wanashindwa kumwelewa!! Lakini namba zinamtetea!! Kenya semeni HAPANA na Mungu atawatetea.
 
Hata kwa kigezo cha vifo: Idadi ya vifo vya COVID 19 kwa kila watu milioni moja kwa kila continent.
1. Europe 233
2. North America 188
3. South America 56
4. Asia 5.4
5.Oceania 2.8
6. Afrika 2.1
Kwa kigezo cha vifo vya COVID 19 bara la Ulaya linaongoza kwa ukubwa wa tatizo. Tatizo la vifo vya covid 19 viko mara 110 zaidi ulaya kuliko Afrika. Kwa hiyo kwa kusudi la kuepusha vifo ulaya wanapaswa kuchukua hatua kubwa zaidi na ngumu zaidi mara 110 kuliko hatua tunazopaswa kuchukua sisi hapa Afrika. Kwa maneno mengine ili kuepusha vifo hatua zetu zinapaswa kuonelana nyepesi zaidi mara 110 kuliko zinazochukuliwa huko ulaya. Kwa South America ni mara 26 zaidi kuliko sisi.Asia mara 2.6 Oceania mara1.3.
Hali kadhalika kwa Kenya kama sehemu ya bara la Afrika haikupaswa kuchukua hatua za kuumiza uchumi wa nchi na wa raia wake kwa kuiga tu wazungu wanavyofanya. Bado hamjachelewa sana achaneni na unnecessary restrictions which do not add up to anything beneficial to your country apart from pleasing mabeberu;!!_
 
Ni muhimu kuendelea kuamini Dawa zetu za Asili
1. Kujifukiza ( Kupiga Nyungu)
2. Tangawizi+ Limao+ Kitunguu saumu+ Asali
3. Kumtegemea Mungu
 
Uelewe pia kule virusi vilifika kitambo ukilinganisha na afrika...kuna mda russia haikua na maambukizi mingi ukilinganisha na nchi kama italy na spain ila sasa russia imezipiku hizo nchi kwa idadi ya maambukizi..kuwa na maambukizi machache na vifo vichache haikupei room kuwa careless

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uelewe pia kule virusi vilifika kitambo ukilinganisha na afrika...kuna mda russia haikua na maambukizi mingi ukilinganisha na nchi kama italy na spain ila sasa russia imezipiku hizo nchi kwa idadi ya maambukizi..kuwa na maambukizi machache na vifo vichache haikupei room kuwa careless

Sent using Jamii Forums mobile app
No one is careless!! Case ya vivid 19 iliingia Tanzania kwa mfano tarehe 15/03/2020. One day after, all primary and secondary schools were closed!! There after all colleges were closed. Social distancing regulatioms were followed, washing hands regulary and putting on masks, visitors fr abroad were put into idolation for 14 days, flights abroad were suspended! All these measure werr done and no any one sensible enough can speak the way you are doing just because we categorically refused to effect lockdown!!
Maambukizi yalianzia Asia wala siyo North America!! I think you know that. Lakini Asia is significantly less affected than North America and Europe. Hakuna tofauti kubwa ya muda ambapo corona iliingia kati ya Africa na North America.
,
 
Suluhisho la lockdown haliwezekani kwa Afrika. Hata wazungu limewashinda, na wameshaanza kuachana nalo. Nchi za Afrika zipambane na corona kulingana na uzito wake kwa Afrika na kulingana na mazingira na hali zetu. Vinginevyo zitaua uchumi wake halafu zilazimike kuishi kwa kutegemea mikopo yenye masharti ya ushoga!!
 
Men lie, women lie but fortunately numbers don’t lie. I am very impressed by how you have tried your level best to elaborate death cases along with infection rates based on rationale.
 
Kupata picha kamili ungelinganisha idadi ya maambukizi per 1 million population na test done per 1 million population. Inawezekana pia namba zipo chini coz idadi ya test zilizofanywa ni chache.
Hapo pia huja consider fact kwamba namba zingine zinaweza zikawa exaggerated na zingine zimeminywa.
 
Back
Top Bottom