Brightdeemed
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 291
- 137
Heshimu rules za hili Forum site wewe OP.
Wapi source uweke hapo? Hatutaki uvumi.
Source gani ingine unataka, wacha papara dogo
Wewe, hizi zako ni porojo tu. Kama hauwezi weka source ya mahala ulitoa taarifa hizi basi ni heri liondolewe!
@Ab-tichaz na Invisible, come over here!!
We pimbi fanya kupita kama hukubali source ya hizi tetesi, ama unataka source ulizo zoea, na kwanza source kwa mtazamo wako ni nini?
We pimbi fanya kupita kama hukubali source ya hizi tetesi, ama unataka source ulizo zoea, na kwanza source kwa mtazamo wako ni nini?
Hehehe!! itakua wewe ndo majani yanakuonyesha vitu vya kiajabu ajabu. Unamfuata rais wetu na yeye ndio atakupata kabla hujamfikia.
Mkuu, wapi umeona nimemtaja mh. rais kwenye post ama sasa wewe ndo unamtaja
Bwana kinachoingia na kutoka kwa mkulu lazima kimhusu, na huwezi ingiza bangi kwake na asiwe anafahamu...hahaha! kama ile ndege ya rais wa China kubeba pembe za ndovu Tanzania.
Ya Pembe za ndovu na rais mvuta bangi
Mkuu, wapi umeona nimemtaja mh. rais kwenye post ama sasa wewe ndo unamtaja
We hofu yako nini hata ukimtaja atakufanya nini hizo nisheria za Kenya bwana humu ni Jamiiforums, labda ingekua KENYA TALKS, Kuwa huru usiogope kama mvuta BANGI ni mvutaji kwani siri
Jamaa akamatwa Nairobi, maeneo ya state house akijaribu kuingiza misokoto ya mmea teule pale ikulu.
View attachment 211636