Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

It simple kama mnataka kujua tz wanadanganya au hawadanganyi. Fanyenj hivi..fungueni shule zote kuanzia nursery upili na vyuo kama tz walivofanya then ruhusuni michezo yote iendelee n.k muone baada ya siku 14 kama kutakua na taifa linaloitwa kenya. Tz wana miez 4 sasa toka waruhusu vyote hivyo na hujawah kusikia maiti zinazagaa barabarani kama mlivokuwa mnatumiwa na mabwana wwnu wazungu kuitangazia dunia. Juzi ligi kuu ya tz imemalizika tunawarudisha wakenya wenzenu kwenu waliokuwepo wanachezea kwetu. Mnajua golikeeper wa harembee stars yenu alikuwepo huku pia yupo star kahata na wengine. Watafuteni watawaambia tz ilovyo ila tumsiwaambukize makorona yenu bado tunawahitaji. Kenya mlipokosea ni kudharau kuwa kuna Mungu. Sayansi bila Mungu ni ziro. Sisi tumewazid hapo na hata kama hamtaki huo ndio ukweli.
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha
 
Kenya isikubali Watanzania waje huku kutuongezea corona. Hawa Watanzania wanadanganya eti hawana corona lakini ni dhahiri shahiri kuwa wao wana corona na wanakufa kwa wingi tu. Kenya isiogope hasira za mkizi kutoka kwa Watanzania. Afya ya Wakenya ipewe kipaumbele.

Halafu sielewi kwanini wanaililia Kenya sana kuliko mataifa mengine yote yaliyowapiga stop.
 
Tony254,

You are doing what exactly you think it is best for yourselves!

And Tanzanians retaliation of which they think is perfect for them ni haki yao too.

Who cares who wins on anything?

Viongozi wetu wa Tanzania unfortunately hawajaweza wajibu Wakenya kwa evidences kwamba Tanzanians hawana korona,hawajaweza fanya hiyo kazi!

And thats totally a stupid part of these leaders of mine.

I'm so focused on what tragedies will follow up when other nations follow suit in banning us because of incompetencies of these lunatics here!

Thats the ultimate price!

Kenya has a legitimate hoja here,so far these monkeys havent addressed yet!
 
Sisi hatuwataki huku. Bakini huko na corona yenu mnayoificha. Afya ya Wakenya ni muhimu kushinda urafiki wetu feki. Tanzania na Kenya huwa tunajifanya marafiki ila hatupendani. Wacha kila mtu akae kwao.
Wantanzania wanaingia kenya kama vile kwenda chooni tu. Bora uwe na kijikaratasi cha wizara ya afya TZ kwamba huna corona. Enda pale Namanga uone watoto wa form 4 ndio wanategeneza vijibarua kwa cybercafe, na kwa mujibu wa makubaliano, lazima Kenya iheshimu barua hizo. Haujiulizi kwanini border imetulia hivi?
 
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha

Muulize Kahata atakuambia kama ni kweli tunaficha? Hapo imani yako itafika
 
Wakenya ndio wanaolialia baada ya vindege vyao kufungiwa na sasa mnataka kuhamisha magoli. Hii ni "Displacement", another type of mental mechanism...

Hehehe napata raha sana ulivyobadilika na kuwa full Tandale kijiweni jamaa.....haya tuendelee na mipasho, subiri endele mistari kadhaa nakuja.
 
Tafuta mtu mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi. Nchi ya kishenzi sana hii. Eti mnasema hamna corona kwa miezi minne sasa. Upuuzi mtupu.

Why are you crying my friend...….?.....ndio hatuna corona.....hutaki……?......watoto wetu wapo shule…..muda sasa……...wa kwenyu wapo shule…..?.....why...….?....
mfano mdogo tu kwanza...….
 
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha
Sisi sio wajinga, we know the right path to choose and we have chosen the GODLY way,
Ninafanya kazi mahali penye mwingiliano wa watu 5000 na wote wako salama,Tunamshukuru Mungu kwa hili.
Tunamshukuru Mungu pia watoto wetu wako salama Shule, Ni Mungu tu.
Hakuna mtu asiyeogopa kufa,Fuatilia mitandao ya Tanzania na hasa humu JF unaona sasa watu wanalalamikia Corona kama ilivyokuwa March na April? Chadomo wasingekaa kimya hapa kama kuna madhara.
 
Tony254,

Unabishana na CS Macharia? Anasema Watanzania tuingie kama tunaingia chooni.

By the way, Magufuli ways of fighting covid 19 now to be adopted in German.

Tutaheshimiana tu.

Screenshot_20200804-121108.jpg
 
Tafuta mtu mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi. Nchi ya kishenzi sana hii. Eti mnasema hamna corona kwa miezi minne sasa. Upuuzi mtupu.
Mpigie Farouk Shikalo goalkeeper wa Yanga Sc na Francis Kahata jr kiungo mshambuliaji wa Simba Sc waulize Tanzania kuna corona? Watakupa majibu
 
Tony254,

UKUTA WA MERERANI UNAVYOMKERA JIRANI

Na Thadei Ole Mushi.

Leo Saniniu Laizer anauza Tena Jiwe la Mabilioni ya shilingi, wakati haya yakiendelea hapa Simanjiro Kuna nchi nyingine zinanuna. Jiwe la leo lina uzito wa kilo 6.63

Twende sawa!!!

Mwaka 2014 Nchi za Kenya na India ziliipita kwa mbali Tanzania kwa kusafirisha na kuuza katika soko la dunia, madini ya tanzanite ambayo yanapatikana hapa nchini pekee.

Kamishna wa Madini katika Wizara ya Nishati na Madini kwa wakati huo , Mhandisi Paul Masanja aliwaambia waandishi wa habari kwamba kwa mwaka 2013, Tanzania haikufikia hata nusu ya Kenya kwa mauzo ya madini hayo ya vito.

Kamishna Masanja alisema mwaka 2013 pekee, Kenya ilisafirisha na kuuza nje ya nchi tanzanite yenye thamani ya zaidi ya Dola 100 milioni za Marekani (Sh173 bilioni) dhidi ya Dola 38 milioni (Sh45.5 bilioni) zilizouzwa na Tanzania.

"Katika kipindi hicho cha mwaka Cha mwaka 2013, India iliuza tanzanite zenye thamani ya zaidi ya Dola za Marekani 300 milioni (Sh509 bilioni) kiasi cha baadhi ya wanunuzi wakubwa, hasa kutoka Marekani kujiuliza iwapo madini hayo yanachimbwa India," alisema Masanja.

Bila kumtaja jina, Kamishna huyo alisema mmoja wa wanunuzi wakubwa wa madini ya vito kutoka nchini Marekani aliwahi kumuuliza iwapo kuna migodi ya tanzanite India kwa sababu akifika huko hupata tanzanite bora na zenye ukubwa kuliko anayopata Tanzania.

Mwaka 2016 Marc Nkwame, Mwandishi Tanzania Daily News aliripoti kuwa Kenya iliuza tena madini ya Tanzanite njee ya mipaka yake yenye Thamani ya Dola milioni Mia Moja huku India ikifikia dola milioni 300 na Tanzania ambaye ndiye mwenye machimbo akiuza madini ya Dola million thelathini na nane tu.

Ujenzi wa ukuta wa MERERANI umekuwa shubiri kwa Kenya na India Kwani sasa wamebaki wakitizama show ya uuzaji wa madini moja kwa moja pale Merereni na Tanzania Sasa ndio inayoongoza kwa uuazaji wa madini haya ndani na nje ya nchi fuatilia link ifuatayo kuona yaliyokuwa yakiendelee kwenye sector ya madini.

Efforts to curb tanzanite smuggling make Tanzania shine - ENACT Africa

Huenda yaliwahi kupatikana mawe Mengine Makubwa zaidi ya haya lakini yalikuwa hayaonekani na Wala yalikuwa hayaliingizii Taifa kipato. Mtaelewa tu kwa nini Kuna vuguvugu Kati yetu na Jirani.

Tanzania haiwezi kufanywa Kama Congo kamwe.
 
Back
Top Bottom