Kenya is the sixth most competitive country in Sub-Saharan African, according to the Global Competitiveness Report 2019.

Kumbe source ni
Kenyan Wall Street!!!?

OK Ahsante.

Ficha ujinga na elimu mbovu ya Tanzania.
Article inasema source ni World Economic Forum - Global competitiveness report 2019.


com.JPG
 
Kujisifia ujinga wakati unapewa misaada ya chakula tena mchele wa plastic karne hii ni ujinga 😂😂😂
 
Ujamaa Umefanya wananchi wetu wana umoja, wanamiliki ardhi, hakuna njaa kama huko, hatupewi misaada ya chakula karne hii,
Hatuna ukabila 😂😂😂
Pia umefanya watu wakawa na tamaa ya kuwala albino?
 
Back
Top Bottom