Kenya is the 6th Richest Nation in Africa

Zigi Rizla

JF-Expert Member
May 25, 2019
1,064
1,107
State of the Nation Address
November 30th 2021
Parliament of Kenya
President Uhuru Kenyatta
FB_IMG_16382821142678533.jpg
 
Hao ivory coast wameibuka ghafla hadi wametupita...ila ngoja tuone 2022 itakuaje
Tz ya 9 , Angola 10 , Ivory Coast 11


Ingawa hizi takwimu ni za uchumi wa Kwenye makaratasi.

Naamini gdp ya Tz ni kubwa zaidi ya Hii ya Kwenye makaratasi sababu bado kuna maeneo mengi kodi haipatikani , haikusanywi, inasamehewa, inakwepwa,mapato( revenue) yanavuja hayaendi hazina , namba kubwa ya watu haitumii mabenki na njia za simu Katika malipo na kuhifadhi ela.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom