REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Dah! Akili kisoda katika ubora wako, uchumi wa Tanzania ni kilimo, utalii, madini, biashara etcArgument
Arguments nyingi za wabongo ni za kijinga na zimejaa mihemko
Unaposema uchumi wa Kenya yote ni Nairobi wakati unasahau kuwa nusu ya uchumi wote wa Tzn ni Dar unashindwa kuwaelewa.Hii ni kawaida kwenye nchi nyingi za Afrika kama Angola Nigeria Egypt etc
Korosho zinatoka Dar?
Pamba inatoka Dar?
Kahawa inatoka Dar?
Tumbaku inatoka Dar?
Dhahabu inatoka Dar?
Export ya sangara inatoka Dar?
Utalii ni Dar?
Dar inaonekana inatoa pato kubwa sababu bandari ipo hapo na mizigo yote na transactions zote za kibiashara zinafanyikia hapo