Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 19,160
- 15,428
Lamu port. Funded by govt.Tanzania tunajenga mradi mkubwa wa UMEME gharama yake ni $3B, onyesheni mradi wowote sasa hivi Kenya mnaojenga wenye thamani ya $1B, hiyo pesa mnakopa kila siku mnafanyia nini?
SGR
CBC
Affordable housing.
Any other quiz Mr. Rumors?