joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Eurobond raises Kenya’s public debt to Sh5.8trn
Kenya borrowed on average Sh129.5 billion per month in the last three months of the 2018/2019 fiscal year
www.businessdailyafrica.com
Pamoja na Kenya kukusanya pesa nyingi, na kukopa pesa nyingi kuliko nchi yoyote hapa EAC, lakini ni nchi ya mwisho katika kuwekeza katika miradi ya maendeleo, jambo hili limeifanya WB kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Kenya kulipa Madeni yake kutokana na ukweli kwamba, pesa inayokopwa hutumika kulipia mishaara, kulipa Madeni na kugharimia shughuli za serikali ambazo ni kubwa kupita uwezo wa nchi.
Katika hali hii ni wazi kuwa "Future" ya Kenya kama nchi na maisha ya wakenya yapo mashakani, hasa ukizingatia kwamba sasa hivi Kenya inanunua zaidi kuliko inachokiuza katika nchi za Africa ambazo zilisaidia Sana kupunguza "Negative balance of trade " na nchi za Nje ya Afrika.