Kenya inakusanya pesa nyingi, inakopa sana lakini ni nchi ya mwisho kuwekaza katika Infrastructure.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Deni la Kenya linazidi kuongezeka kwa kasi, hali hii inajitokeza wakati ambapo baadhi ya wakenya wanajisifu kukusanya pesa Mara mbili ya Tanzania. Jambo linaloshangaza ni kwamba, pamoja na majigambo ya kukusanya pesa nyingi, lakini GoK haina uwezo hata kulipa Madeni yake ya nyuma, hulazimika kukopa ili kulipa Madeni ya nyuma.

Pamoja na Kenya kukusanya pesa nyingi, na kukopa pesa nyingi kuliko nchi yoyote hapa EAC, lakini ni nchi ya mwisho katika kuwekeza katika miradi ya maendeleo, jambo hili limeifanya WB kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Kenya kulipa Madeni yake kutokana na ukweli kwamba, pesa inayokopwa hutumika kulipia mishaara, kulipa Madeni na kugharimia shughuli za serikali ambazo ni kubwa kupita uwezo wa nchi.

Katika hali hii ni wazi kuwa "Future" ya Kenya kama nchi na maisha ya wakenya yapo mashakani, hasa ukizingatia kwamba sasa hivi Kenya inanunua zaidi kuliko inachokiuza katika nchi za Africa ambazo zilisaidia Sana kupunguza "Negative balance of trade " na nchi za Nje ya Afrika.
 
Haya madeni yatakuja kutumaliza. Jambo linalonishangaza ni eti Uhuru alisomea economics lakini after 6 short years deni imetriple. Hapo Uhuru amekosea sana.
Kenya mpo na matatizo makubwa sana. Ukifuatilia kwa undani jinsi Kenya inavyoendeshwa unaweza kuchanganyikiwa. Kwa ujumla 75% ya Sera na "Economic decisions" yanayofanywa na serikali ya Kenya ni "Wrong". Kama serikali ya Kenya itamsikiliza David Ndii, na kumpata kiongozi kama Matiang'i, kuna uwezekano mkubwa wa kuikoa Kenya, " otherwise there is no future for Kenyans".
 
Please remind the following;
1
Deni la Kenya linazidi kuongezeka kwa kasi, hali hii inajitokeza wakati ambapo baadhi ya wakenya wanajisifu kukusanya pesa Mara mbili ya Tanzania. Jambo linaloshangaza ni kwamba, pamoja na majigambo ya kukusanya pesa nyingi, lakini GoK haina uwezo hata kulipa Madeni yake ya nyuma, hulazimika kukopa ili kulipa Madeni ya nyuma.

Pamoja na Kenya kukusanya pesa nyingi, na kukopa pesa nyingi kuliko nchi yoyote hapa EAC, lakini ni nchi ya mwisho katika kuwekeza katika miradi ya maendeleo, jambo hili limeifanya WB kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Kenya kulipa Madeni yake kutokana na ukweli kwamba, pesa inayokopwa hutumika kulipia mishaara, kulipa Madeni na kugharimia shughuli za serikali ambazo ni kubwa kupita uwezo wa nchi.

Katika hali hii ni wazi kuwa "Future" ya Kenya kama nchi na maisha ya wakenya yapo mashakani, hasa ukizingatia kwamba sasa hivi Kenya inanunua zaidi kuliko inachokiuza katika nchi za Africa ambazo zilisaidia Sana kupunguza "Negative balance of trade " na nchi za Nje ya Afrika.
1. Country with better roads in East Africa
2. Country with better schools in East Africa
3. Country with best port in East Africa
4. Biggest hospital in East Africa is in which country
5. Which country has best airport in Africa after Bole international airport of Ethiopia.
6. Which country has better shopping centers in East Africa
7.Which country has the highest installed Electricity in East Africa.
8. Which country has an operating SGR in East Africa apart from Ethiopia.
9. Which country has the list poor citizens in East Africa
 
Please remind the following;
11. Country with better roads in East Africa
2. Country with better schools in East Africa
3. Country with best port in East Africa
4. Biggest hospital in East Africa is in which country
5. Which country has best airport in Africa after Bole international airport of Ethiopia.
6. Which country has better shopping centers in East Africa
7.Which country has the highest installed Electricity in East Africa.
8. Which country has an operating SGR in East Africa apart from Ethiopia.
cc. Tony254
 
Deni la Kenya linazidi kuongezeka kwa kasi, hali hii inajitokeza wakati ambapo baadhi ya wakenya wanajisifu kukusanya pesa Mara mbili ya Tanzania. Jambo linaloshangaza ni kwamba, pamoja na majigambo ya kukusanya pesa nyingi, lakini GoK haina uwezo hata kulipa Madeni yake ya nyuma, hulazimika kukopa ili kulipa Madeni ya nyuma.

Pamoja na Kenya kukusanya pesa nyingi, na kukopa pesa nyingi kuliko nchi yoyote hapa EAC, lakini ni nchi ya mwisho katika kuwekeza katika miradi ya maendeleo, jambo hili limeifanya WB kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Kenya kulipa Madeni yake kutokana na ukweli kwamba, pesa inayokopwa hutumika kulipia mishaara, kulipa Madeni na kugharimia shughuli za serikali ambazo ni kubwa kupita uwezo wa nchi.

Katika hali hii ni wazi kuwa "Future" ya Kenya kama nchi na maisha ya wakenya yapo mashakani, hasa ukizingatia kwamba sasa hivi Kenya inanunua zaidi kuliko inachokiuza katika nchi za Africa ambazo zilisaidia Sana kupunguza "Negative balance of trade " na nchi za Nje ya Afrika.
Mombasa peke yake ina flyovers nyingi kuliko Dar. sijui infrastructure gani unaongelea - labda vijijini kwa marais hapo sawa Tz tunaongoza!
 
Deni la Kenya linazidi kuongezeka kwa kasi, hali hii inajitokeza wakati ambapo baadhi ya wakenya wanajisifu kukusanya pesa Mara mbili ya Tanzania. Jambo linaloshangaza ni kwamba, pamoja na majigambo ya kukusanya pesa nyingi, lakini GoK haina uwezo hata kulipa Madeni yake ya nyuma, hulazimika kukopa ili kulipa Madeni ya nyuma.

Pamoja na Kenya kukusanya pesa nyingi, na kukopa pesa nyingi kuliko nchi yoyote hapa EAC, lakini ni nchi ya mwisho katika kuwekeza katika miradi ya maendeleo, jambo hili limeifanya WB kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa Kenya kulipa Madeni yake kutokana na ukweli kwamba, pesa inayokopwa hutumika kulipia mishaara, kulipa Madeni na kugharimia shughuli za serikali ambazo ni kubwa kupita uwezo wa nchi.

Katika hali hii ni wazi kuwa "Future" ya Kenya kama nchi na maisha ya wakenya yapo mashakani, hasa ukizingatia kwamba sasa hivi Kenya inanunua zaidi kuliko inachokiuza katika nchi za Africa ambazo zilisaidia Sana kupunguza "Negative balance of trade " na nchi za Nje ya Afrika.
what you wrote is just bullshit. Unaongeza maneno yako mwenyewe.
 
You started by saying that Kenya is lagging behind in architectural development despite huge loans and tax collection.
Tony254, watu kama hawa ndio wengi sana katika serikali yenu, badala ya kujadili "issues" katika hiyo article, wao wanaijadili Tanzania, kweli Kenya mpo na shida sana.
 
Is flyover not a development? See your life. Kumbe hii kitu ni ukweli.
Kwahiyo hayo Madeni yote yanayofilisi nchi ni kwa ajili ya flyover?. Ndio sababu mnashindwa kulipa mikopo kwasababu ya kuwekeza katika miradi ya hovyo kama hiyo.
IMG_20190728_121539_333.JPG
 
You started by saying that Kenya is lagging behind in architectural development despite huge loans and tax collection.
Soma vizuri pimbi wewe, nimesema inakopa sana, inakusanya pesa nyingi, lakini ni nchi ya mwisho kuwekeza katika infrastructure, sasa hiyo pesa mnayokopa kila mwaka mnapeleka wapi?
 
Soma vizuri pimbi wewe, nimesema inakopa sana, inakusanya pesa nyingi, lakini ni nchi ya mwisho kuwekeza katika infrastructure, sasa hiyo pesa mnayokopa kila mwaka mnapeleka wapi?
Ebu niambie any infrastructure that Kenya lags behind.
 
Ebu niambie any infrastructure that Kenya lags behind.
Tanzania tunajenga mradi mkubwa wa UMEME gharama yake ni $3B, onyesheni mradi wowote sasa hivi Kenya mnaojenga wenye thamani ya $1B, hiyo pesa mnakopa kila siku mnafanyia nini?
 
Back
Top Bottom