MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,751
- 48,401
View attachment 1446561
endelea kutushangaa tu, mavuno ya sera za awamu ya tano na corona zipo wazi!!!!
GĢ‡oodluck š¯—›aule
@RealHauleGluck
Familia imetupa taarifa ya kifo cha mke wa ndugu Joshua ambaye alifariki kwa Corona siku 11 zilizopita. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe!
Translate Tweet
Quote Tweet
GĢ‡oodluck š¯—›aule
@RealHauleGluck
Ā· Apr 30
ā€¯NMB Mafinga imefungwa. Mfanyakazi anaitwa Joshua Kikungwe amefariki na wengine wapo karantini. Huduma zilikua zinatolewa nje kwenye gari na wafanyakazi wa kutoka NMB Iringa, Hide my ID kakaā€¯ -
Pumzika kwa Amani Joshua; Bwana ametoa & Bwana ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe!
4:42 PM Ā· May 10, 2020Ā·Twitter for iPhone
@kigogo2014
Hii mbuzi ya jalalani ipeni salama hawa wanazikwa hapa ni nani? Kawaambie hao wana Rombo ndiyo maana wanaitwa WaRombo !
@MnaaZawadi
Mkuu wa mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima akimwakilisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassimu Majaliwa ameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa mchunguzi mwandamizi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini ambaye amezikwa wilayani Rorya mkoani humo leo Mei 10,2020
Kigogo
@kigogo2014
We said it hamkutaka kusikiliza! Mna kazi ya kujazana ujinga tu
Translate Tweet
Zambia shuts border with Tanzania over virus spread fears
This article will focus on major developments coming from the southern African country.
africanews.com
12:05 PM Ā· May 10, 2020Ā·Twitter for iPhone
Huyo jamaa anaitwa Kigogo yaani sijui hupataje hizi taarifa, ameanika mpaka basi.