NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Hatutaki vita na Wala si jambo jema Kwa stability ya East Africa. Lakini itakuwa vipi ngoma ikivuma sana na mwishowe kupasuka, Kenya itaweza kuuzima mziki wa Uganda ?
Naona wazi kabisa huyu kijana wa Mu7 akiachiwa madaraka ananaweza kutesti mitambo.
Tanzania walishamalizana nao mpaka leo hii Jeshi la Uganda wanafundisha kiswahili, kilichowakuta hawajasahau.
Naona wazi kabisa huyu kijana wa Mu7 akiachiwa madaraka ananaweza kutesti mitambo.
Tanzania walishamalizana nao mpaka leo hii Jeshi la Uganda wanafundisha kiswahili, kilichowakuta hawajasahau.