Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,787
Wakati huo ikijulikana kama talented country katika uwanja mzima wa sanaa kuanzia nyimbo maigizo vichekesho mpaka kutengeneza vipindi mbalimbali Tanzania na wengineo tulikuwa nyuma kwakweli
Tusizungumzie mbali sana nyakati zile za zilipendwa ambazo mpaka leo zinahit, tuzungumzie tu miongo miwili iliyopita... Enzi za vituko mahakamani, mzee mgongoo, mama kayaii, Mwalla, Mzee Ojwang na wengine wengi waliocheza na kuvaa uhusika kamili kwenye nafasi zao
Kwenye tungo za kisasa wakaibuka kina Nyota ndogo -Nibebe, Benjamin huyu dogo aliyeimba Nchi ya kitu kidogo, bush baby? Tungo zile ziliimbika na zilikuwa na ujumbe wenye hisia
Leo hii Kenya wamebaki wabana pia, wanaojipodoa na kuvaa hereni, na kuigiza kike. Bila kuwa na ujumbe wowote wa maana.... Kweli kila zama na vitabu vyake
Tusizungumzie mbali sana nyakati zile za zilipendwa ambazo mpaka leo zinahit, tuzungumzie tu miongo miwili iliyopita... Enzi za vituko mahakamani, mzee mgongoo, mama kayaii, Mwalla, Mzee Ojwang na wengine wengi waliocheza na kuvaa uhusika kamili kwenye nafasi zao
Kwenye tungo za kisasa wakaibuka kina Nyota ndogo -Nibebe, Benjamin huyu dogo aliyeimba Nchi ya kitu kidogo, bush baby? Tungo zile ziliimbika na zilikuwa na ujumbe wenye hisia
Leo hii Kenya wamebaki wabana pia, wanaojipodoa na kuvaa hereni, na kuigiza kike. Bila kuwa na ujumbe wowote wa maana.... Kweli kila zama na vitabu vyake