Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,464
Wakuu,
Mara nyingi tu nimesema humu kwamba nchi ikitaka kupigana na corona, kwanza ipigane na ufisadi. Wengi wanashangaa kwanini Tanzania corona ni historia, kumbe wao hawafahamu kwamba ufisadi pia ni historia.
Lakushangaza ni kwamba, Zile barokoa zilizo peanwa bure na "Jack Ma" kwa wakenya zote ziliuzwa kwa bei ya chee tanzania! -Eti Mifisadi ipate mpunga ilihali madaktari na wauguzi wakenya wakae bila masks!
=====
Mara nyingi tu nimesema humu kwamba nchi ikitaka kupigana na corona, kwanza ipigane na ufisadi. Wengi wanashangaa kwanini Tanzania corona ni historia, kumbe wao hawafahamu kwamba ufisadi pia ni historia.
Lakushangaza ni kwamba, Zile barokoa zilizo peanwa bure na "Jack Ma" kwa wakenya zote ziliuzwa kwa bei ya chee tanzania! -Eti Mifisadi ipate mpunga ilihali madaktari na wauguzi wakenya wakae bila masks!
=====