escrow one
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,472
- 2,867
Shirikisho la soka nchini Kenya (FKF) limemuajiri ndg Engin Firat kama Kocha Mkuu wa timu ya Taifa hilo kwa mkataba wa miezi miwili.
kuajiriwa kwa Firat mwenye asili ya Ujerumani na Uturuki ni kufuatia kufutwa kwa kandarasi ya kocha Jackob 'Ghost' Mulee.
kuajiriwa kwa Firat mwenye asili ya Ujerumani na Uturuki ni kufuatia kufutwa kwa kandarasi ya kocha Jackob 'Ghost' Mulee.