Kenya, Chinese space station deal alarms US

Amebakisha sasa kibera tu alafu kichaa imshike aanze kuonesha utanzania yake yote hapa.
huyu achana na yeye..nashindwa waga ni mtz aina gani..nishajua penye akili yake iko...huyu usibishane na yeye..juu ukibishana na yeye watu watakuona mjinga
 
Mnajituma for nothing, tangu 1962 mmerusha rocket ipi angani???-- that is wastage of resources and time for funny!!. Halafu mmnakuja hapa kutamba kwamba mnajituma??!🤣🤣

2020-1962= Wastage Years for nothing in the space.
Tumetuma satellite mbili, na tukaungana na Itay kurusha rocket kutoka malindi launch station na mpaka sahi UON (University of Nairobi) na european space agency wanatumia hiyo launch station ya malindi kufanya utafiti. Jaribu kingine.
Wewe ngangana na maharage hapo, akili zenyu finyu masomo haiwezi ingia.
 


Kweli lNyani haoni kundule, unatoa kibanzi jichoni kwa mwenzako wasahau boriti jichoni kwako. Very hilarious.

Screenshot_20200928-211322.png
 
Mnajituma for nothing, tangu 1962 mmerusha rocket ipi angani???-- that is wastage of resources and time for funny!!. Halafu mmnakuja hapa kutamba kwamba mnajituma??!🤣🤣

2020-1962= Wastage Years for nothing in the space.
Alafu pia kuongeza chumvi kwa kidonda, UON iko na tracking station ndani ya indian ocean inayo fata vile satellites zinasonga in space na inaweza fata pia missiles.
 
tukaungana na Itay kurusha rocket

Umeelewa swali wewe mla miraa na chang'aa??

Nataka launch ya rocket iliyotengenezwa na Solely kenyans scientists not in collaboration with foreign scientists. Mmetengeneza satellite na Rocket ipi??.

Hao wanasayansi wa Italy waliwatumia wanasayansi wa kenya kama CALCULATOR au Computer inavyotumiwa na mtu, ndiyo maana nasema your scientists were just as ceremonials nothing more or less.
 
Mnajituma for nothing, tangu 1962 mmerusha rocket ipi angani???-- that is wastage of resources and time for funny!!. Halafu mmnakuja hapa kutamba kwamba mnajituma??!🤣🤣

2020-1962= Wastage Years for nothing in the space.
walimu wenyewe hamna mashuleni, hiyo akili mnatoa wapi?

You got huge gap of primary educators supply, how's that satellite solved it? 😅😅😅😅

Hata hao kiduchu mlionao bado mishahara hamuwezi walipa 😁😁
2507270_pupil-teacher-ratio-for-primary-education-by-country.png
 
Unajua kizungu kweli "mental health issues" haimaanishi kichaa. Depression ndiyo iliripotiwa kwa wingi hiyo ni tofauti na kuwa kichaa.


Wewe unayejua kizungu haya tuambie kichaa na Depression (msongo wa mawazo) siyo mental problems hizo??--- depression may lead to a serious mental illness, ndiyo maana Nairobi na kisumu, kakamega wehu wamezidi siku hizi.
 
HAHAHA, Naona sasa umeanza kuingia wasi wasi. Usijali tunajenga University mpya Inaitwa Kaist (Konza institute of advanced science) ambayo inajengwa na south Korea iwe kama Kaist huko south korea.
Yani bado tutawakalia kimasomo kwa mda mrefu.
Kwann msifanye huo utafiti wenyewe mpaka mshirikishe wazungu. Na kama mba elimu bora kwann msiitumie kuiendeleza africa mnatumia kuiendeleza china na ulaya. Mnafurahi maboss wenu wazungu wakiwasifia sifia bila hata kureason kwann wanawasifia na kutaka nguvu kazi yenu ku implement program zao tena ndani ya bara lenu
 
Wakenya ni watu wa kujituma kwa mabeberu. Watanzania ni watu wa kujituma kwa watanzania wenzao
Wakenya ni watu wa kujituma ndiyo sababu wamejumuishwa na watu werevu, nyinyi ni wavivu na miaka mingi ya kula mihogo na maharage pekee imewafanya akili zenyu hazikuwi vizuri.
Tulianza kufanya utafiti ya space kuanzia 1962 nyinyi mpaka sahi bado mnafikiria mahindi na maharage tu!!.
 
Wewe unayejua kizungu haya tuambie kichaa na Depression (msongo wa mawazo) siyo mental problems hizo??--- depression may lead to a serious mental illness, ndiyo maana Nairobi na kisumu, kakamega wehu wamezidi siku hizi.
Depression ni rahisi kutibu, kichaa wengi huwa hawaponi.
WFP nayo ilisema watanzani wengi akili zao hazikui vizuri kwa sababu ya kula mihogo na maharage tu kutoka utotoni.

Ukumbuke hizo akili zenyu ambazo hazija mature, huwafanya mfikirie mnaeza jilinganisha na Kenya.
 
Maumivu ya kujua hakuna mtu anawatambua kimasomo. Pona hivi karibuni, na ikizidi kamuone daktari.
Mwafrika mwenzako akikutambua unamuona mjinga. Ila mzungu ndo mnamuona reference ya kila kitu. Mnataka hadi mkivaa nguo zenu mnasubiri awaambie mmependeza au hamjapendeza
 
Mwafrika mwenzako akikutambua unamuona mjinga. Ila mzungu ndo mnamuona reference ya kila kitu. Mnataka hadi mkivaa nguo zenu mnasubiri awaambie mmependeza au hamjapendeza
Tangu lini mchina akawa mzungu unaona akili zenyu vile hazifanyi kazi vizuri?
 
Elimu ya tanzania ni bora. Sema wewe hupendi vile ikifundishwa kwa lugha ya kuafrika. Unataka ifundishwe kwa lugha ya kiingereza. English lugha tu sio utàalamu. Mafundi wangapi hawajui kimgereza lakini ndo basic blocks katika kujenga nyumba na kufanya installation za umeme. Ma engineer wanaojua kingereza wanabaki wanawatumatuma tu. Lakini kiuhalisia kazi inafanywa na ma artisan na matechnician
Wacha mbio jipeni mda mkuze elimu yenyu kwa sahi hakuna mtu anatambua masomo ya Tanzania. Dunia inajua bado mko chini sana kielimu hata Uganda inawashinda kwa elimu.
Masomo yenyu ni sarakasi za tom and jerry.

Two Ugandans named among Africa’s best scientists

Fungua hiyo link uone kama kuna mtanzania hata mmoja. Uganda wako na wawili, Kenya iko na watat,u Tanzania hakuna hata mmoja. Masomo yenyu ya university ndiyo kama high school hapa Kenya.
 
Kwann msifanye huo utafiti wenyewe mpaka mshirikishe wazungu. Na kama mba elimu bora kwann msiitumie kuiendeleza africa mnatumia kuiendeleza china na ulaya. Mnafurahi maboss wenu wazungu wakiwasifia sifia bila hata kureason kwann wanawasifia na kutaka nguvu kazi yenu ku implement program zao tena ndani ya bara lenu
Ulitaka tukuje tanzania? Mchina ameendelea kiteknolojia, mzungu pia ndiyo kwa sababu tunaenda kusoma kwao. Nyinyi mnaopenda masomo ya gumbaru mtatusaidia nini?
Kwanza kiteknolojia Tanzania ik na nini ya kuonyesha dunia ama hata afrika?
 
Elimu ya tanzania ni bora. Sema wewe hupendi vile ikifundishwa kwa lugha ya kuafrika. Unataka ifundishwe kwa lugha ya kiingereza. English lugha tu sio utàalamu. Mafundi wangapi hawajui kimgereza lakini ndo basic blocks katika kujenga nyumba na kufanya installation za umeme. Ma engineer wanaojua kingereza wanabaki wanawatumatuma tu. Lakini kiuhalisia kazi inafanywa na ma artisan na matechnician
Kama ni bora mbona hata Afrika haitambuliki? Kama ni bora mbona dunia haitaki kujishughulisha na watu wa Tanzania kwa vitu vinavyo hitaji akili timamu?
 
Tangu lini mchina akawa mzungu unaona akili zenyu vile hazifanyi kazi vizuri?
Mwafrika ndo binadamu pekee alietofauti na binadamu wote dunuani. Wote waliobaki ni wazungu kasoro mwafrika. Ndo maana hata mikutano ya G8 superpowers huwezi kukuta nchi ya africa. Inamaana wazungu ndo wanaitana kudiscuss kucontrol dunia. Na je wajua G8 zipo nchi zipi. Hapo mdo utajua wazungu ni wapi na waafrika(black) ni wapi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom