Super...Kina Mama wamepewa nguvu mpaka imepitiliza....Hapa Bongo Ukimuuliza kitu kwa sauti ya ukali tu unasikia anakuuliza hivi unalijua Dawati la jinsi wewe....
Nilikua nasikia wanaume wa Kenya wanaopigwa na wake zao huwa hawalii kabisa hata mguno hakuna kutokana na kukwepa aibu kwa majirani,
Sasa unaambiwa wanawake ndio wamekua wakitake advantage kwenye hiyo situation kwa kushusha kichapo cha mbwa mwizi mpaka kupelekea baadhi yao kuzirai kabisa,
Wengine wanaopata auheni ni wale wanaopigwa na wake zao lakini wakati wanapokea kichapo huwa wanalia kama wanawake ili kufunika kombe mwanaharamu apite, Tatizo lao ni kwamba majirani wakija kuamua hao wanaopigwa ndio wanakua wakali kuruhusu msaada wa wasamaria wema.
So mpaka wanaanzisha huo umoja wao usidhani ni mchezo mchezo wamehaso
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.