kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,291
- 12,582
I think the US will not be your good allies under Trump and after Obama,, isn't it? What is your plan now about the Alishabab fight? Tafuteni njia ingine ya kulinda amani ya nchi yenu, chagueni mazungumzo (negotiation) na Alishabab badala ya vita. Vita itasababisha mfilisike kabisa kwasababu vita ya Alishabab ni vita ya kudumu sawa na ilivyo kwa vita ya Wapalestina au Taliban dhidi ya Zions. Huu ni ushauri wa bure kabisa kwenu.