Kenya Airways, Mombasa harbour, Viwanda, reli za kenya wanapaa, while Tanzania ziiii!

Hiyo number tatu sijui kama itatusaidia kwa dunia ya leo, Indians are very easy people to control if you have good laws..mbona wako UK,US wanafanya vema kwasababu sheria zinasimamiwa na wazalendo vizuri..I don't support the idea of leballing and generalizing crime to the entire group of people in the society...wengine wamezaliwa pale kisutu miaka mingi sana...itakuwa ngumu..wengine ni wazalendo kwa matendo yao mengi..wengine ni majizi (Mafisadi) ha ndio tuwa identify..kwa sheria nzuri..

Real talk, you speak for our generation.
 
Back
Top Bottom