Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la KQ ni corruption ileyopelekea wa lease ndege. Faida yote anakula KLM๐๐๐Hizi sio habari njema za kufurahia mulisaaa naelewa unautani sana na hawa jamaa zetu. Kumbuka KQ imekua msaada sana tulipokua hatuna ndege, ushirika wai na PA umetoa huduma muhimu sana kwa wananchi wetu kwenye usafiri wa anga.
Kama wakongwe mambo yanawaendea kombo, tumejipanga ipasavyo kuhakikisha na sie ndege zetu haziishii kushindwa kufanya biashara?
Am waiting for other memes.!!And replaced by ALREADY DEAD ATCL
View attachment 958020
Tatizo la KQ ni corruption ileyopelekea wa lease ndege. Faida yote anakula KLM๐๐๐
Ndio ni sahihi....!!Kwa maoni yako, uamuzi wetu wa kununua kwa cash ni sahihi kibiashara?
Ndio ni sahihi....!!
KAfrica kajipange...Kenya Airways iko ICU. CEO kasema.๐๐๐
Mme isikia hii๐๐๐One thing is certain. Even if KQ were to lose its position, it will not lose to ATCL.
Unajua watu hawafahamu flexibility ambayo JPM ame-accord Air Tanzania. Watakuja jua tutakapoanza kwenda intercontinental maana Air Tanzania will have a bigger room to manoeuvre fareprice than KQ as no debt obligations are facing ATCL.Ndio ni sahihi....!!