Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
wana ndugu ile ndege ya kenyaairways inayoondoka asubuhi saa kumi usiku leo imewalaza abiria mpaka saa tatu pale ilipopata technical problem
wakiongea kwa huzuni abiria walioko wakiwemo vikongwe wawili waliokuwa kwenye wheel chair uku wanasinzisinzia walisema wanasikitika sana kule kenya hakuna kitu kama hiki sijui haya mambo yataisha lini tena...hata hivyo wafanyakazi wa kenyaairways ambayo inatumia ndege ya precission air 737/200 walifanikiwa kuondoka b=mida ya saa mbili kamili.....pongezi kwa wafanyakazi wa kenyaairways walikuwa very cooperative na abiria hatimae wakaondoka.......
wakiongea kwa huzuni abiria walioko wakiwemo vikongwe wawili waliokuwa kwenye wheel chair uku wanasinzisinzia walisema wanasikitika sana kule kenya hakuna kitu kama hiki sijui haya mambo yataisha lini tena...hata hivyo wafanyakazi wa kenyaairways ambayo inatumia ndege ya precission air 737/200 walifanikiwa kuondoka b=mida ya saa mbili kamili.....pongezi kwa wafanyakazi wa kenyaairways walikuwa very cooperative na abiria hatimae wakaondoka.......