Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 71
- 195
Afisa mmoja wa Jeshi la ulinzi KDF Kenya(umri 37) ameaga dunia baada ya kuumwa mara tatu na mpenziye Violet Asale (umri 27).
Idara ya upelelezi DCI imesema kwamba marehemu aliumwa mara tatu; yaani kwenye kidole, kifua na bega baada ya wawili hao kutofautiana usiku katika mtaa wa Kahawa Wendani ilioko katika barabara ya Thika.
Baada ya kugundua kuwa mpenziye ameumia, Violet alimkimbiza katika hospitali ya Kahawa Garrison lakini kwa bahati mbaya marehemu akafia njiani.
Violet Asale anashikiliwa na maafisa wa polisi huku uchunguzi wa maiti ya mpenziye ukitarajiwa kufanyika hapo kesho.
Idara ya upelelezi DCI imesema kwamba marehemu aliumwa mara tatu; yaani kwenye kidole, kifua na bega baada ya wawili hao kutofautiana usiku katika mtaa wa Kahawa Wendani ilioko katika barabara ya Thika.
Baada ya kugundua kuwa mpenziye ameumia, Violet alimkimbiza katika hospitali ya Kahawa Garrison lakini kwa bahati mbaya marehemu akafia njiani.
Violet Asale anashikiliwa na maafisa wa polisi huku uchunguzi wa maiti ya mpenziye ukitarajiwa kufanyika hapo kesho.