KENWOOD Mziki mnene unauzwa

Dah! ya zamani sana hiyo mkuu; niliinunua moja kama hiyo hiyo e-bay mwaka 1997 (yaani ilikuwa imeshatumika pia). Baada ya kuitumia miaka kumi nikaitoa msaada kwenye charity mwaka 2007. Ilikuwa inatoa sauti nzuri sana ila sasa ilikuwa pia imepitwa sana na wakati. Maboksi yalikuwa mengi na waya nyingi za kuyaunganisha zilikuwa ni nyingi sana: Tuner, Graphic Equalizer, Cassete Player, CD Player, Stereo Amplifier. Halafu maboksi hayo mengine yalikuwa yamepitwa sana na wakati kipindi hicho (2007), kwa mfano Casette Player, CD Player, Graphic Equalizer na Stereo Amplifier ni vitu vya kizamani.
 
Dah! ya zamani sana hiyo mkuu; niliinunua moja kama hiyo hiyo e-bay mwaka 1997 (yaani ilikuwa imeshatumika pia). Baada ya kuitumia miaka kumi nikaitoa msaada kwenye charity mwaka 2007. Ilikuwa inatoa sauti nzuri sana ila sasa ilikuwa pia imepitwa sana na wakati. Maboksi yalikuwa mengi na waya nyingi za kuyaunganisha zilikuwa ni nyingi sana: Tuner, Graphic Equalizer, Cassete Player, CD Player, Stereo Amplifier. Halafu maboksi hayo mengine yalikuwa yamepitwa sana na wakati kipindi hicho (2007), kwa mfano Casette Player, CD Player, Graphic Equalizer na Stereo Amplifier ni vitu vya kizamani.
ni kweli kabisa.. ukiwa unaiunganisha kila siku inachosha.
 
unaijua hiyo redio vizuri mkuu!!!!

kama unazngumzia uzamani unawezakuwa na hoja ila sio hizo watt zako za kukaririshwa kwenye risiti.
Hii radio naijua vizuri tu mkuu.uwezi kufananisha na sony 1200 watt.yani uwo mziki wako unaingia mara 6 kwenye sony ya watt 1200
 
ok.. waambie pia watts 240 za muziki huu ni kubwa kuliko watts 1200 za home theatre za kariakoo.
Hii takataka yenu ingekuwa na maana ungekuwa unaikuta kila nyumba ila naimani hata wew ukiambiwa uchague sizani kama utaacha sony uchukue uwo uchafu
 
Hii radio naijua vizuri tu mkuu.uwezi kufananisha na sony 1200 watt.yani uwo mziki wako unaingia mara 6 kwenye sony ya watt 1200
1200 ni jumla ya watt zote zinazopatikana kwenye speaker.

Nikuulize kwanini sound bar zina watt 300 tu,ila balaa lake unalifahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom