Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu choko kafanya mpaka nimesahau kama nafanya biasharaBadala ya kutushawishi wateja duka limegeuka na kuwa la kutoleana mashuzi looh...
jf raha sana,huyu choko kafanya mpaka nimesahau kama nafanya biashara
Mitumba ya kizamani sana iyo inatumia disk hata siyo DVD itoe wapi flash iyo kama siyo flash ya kuungaunga. Iyo inasoma cassette na disk za audio tu hata siyo mp3. Alafu eti laki saba kko walikuwa wanaiuza mitumba hadi laki na nusu sikuhizi imeadimika
wanazouza kariakoo zinatumia cassetes, radio na cd tu.. hii yangu inatumia flash, bluetooth, radio, cd na cassetes ndio maana bei ni tofauti kaka.. isitoshe amplifaya ya redio hii ni kubwa kiasi inaweza kusukuma spika kubwa kuliko hizi
sa si ukanunue kimya kimya?!.. kuna mtu kakulazimisha u-comment?!.. mbona awamu hii wanaume tunapungua kwa kasi!..Ipo pale kanisa la kkkt Kariakoo kibao laki mbili
sa si ukanunue kimya kimya?!.. kuna mtu kakulazimisha u-comment?!.. mbona awamu hii wanaume tunapungua kwa kasi!..
sasa shobo za kichoko za nini wakati unajua mzigo sio type yako?!Nani amekwambia Naitaji kufuga panya nyumbani kwangu? Laki saba si napata home theater ya Samsung kali yenye kila kitu
kaka huu muziki sio hata wa kuufananisha na sony ya watts 1200... labda kama we ni mpenzi wa home theatre na sio muziki.. hata hivyo nimeandika mahongezi yapo.mkuu mbona kama haupo serious na biashara.iyo laki 7 na nusu si napata SONY watt 1200.ivi kweli hata wew ukiwekewa uwo mziki wako na SONY watt 1200 utachagua nini mkuu?
nimeshangaa hata mimi yaani ina usb?Mitumba ya kizamani sana iyo inatumia disk hata siyo DVD itoe wapi flash iyo kama siyo flash ya kuungaunga. Iyo inasoma cassette na disk za audio tu hata siyo mp3. Alafu eti laki saba kko walikuwa wanaiuza mitumba hadi laki na nusu sikuhizi imeadimika
ina usb na bluetooth kabisa.. na bado kuna mbwa wanaifananisha na zile za zamaninimeshangaa hata mimi yaani ina usb?
unaijua hiyo redio vizuri mkuu!!!!mkuu mbona kama haupo serious na biashara.iyo laki 7 na nusu si napata SONY watt 1200.ivi kweli hata wew ukiwekewa uwo mziki wako na SONY watt 1200 utachagua nini mkuu?
bora unisaidie ndugu yangu.. wananikera watu wanaofananisha mziki huu na home theatre!..unaijua hiyo redio vizuri mkuu!!!!
kama unazngumzia uzamani unawezakuwa na hoja ila sio hizo watt zako za kukaririshwa kwenye risiti.
ok.. waambie pia watts 240 za muziki huu ni kubwa kuliko watts 1200 za home theatre za kariakoo.Huo mziki ni wa zamani, uko modified kwa kuwekewa chip ya kusoma mp3 na bluetooth ambazo zinauza elf10, zina power consuption kubwa kutokana na teknolojia yake, ni watts 240 tu, huo ukubwa usiwatishe, buti mziki wake umechujika vizuri sana huwez kuufananisha na mziki wa mchina, pale agrey wanauza 700,000 mpaka 450000 kulingana na hali na ukubwa wa redio.
kuhusu power consuption kubwa, tatizo sio technology yake, bali ukubwa wa watts zake.Huo mziki ni wa zamani, uko modified kwa kuwekewa chip ya kusoma mp3 na bluetooth ambazo zinauza elf10, zina power consuption kubwa kutokana na teknolojia yake, ni watts 240 tu, huo ukubwa usiwatishe, buti mziki wake umechujika vizuri sana huwez kuufananisha na mziki wa mchina, pale agrey wanauza 700,000 mpaka 450000 kulingana na hali na ukubwa wa redio.
Watu mna maneno, khaaa!!na wewe njoo unijambie mimi urudi na mimba!