Kenedy 'The Remedy' wa Clouds FM

Jamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.

Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.

Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.
The Cruise kulikuwa na mtu anaitwa Bazil Mbakile........alikuwa ana simama pekee yake.
 
MWANAUME KUMSIFIA MWANAUME MWENZAKE NI USHOGA WA KIWANGO CHA MASTERS DEGREE ASEEEEEEEEEEE
Huko sio kusifia ni kukubali kazi ya mtu. Wazungu wanasema ku appreciate!

Kama huwezi ku appreciate mwenzio anachifanya huwez fanikiwa. Na mara nyingi watu kama nyinyi msio appreciate wenzenu wanavyofanya au success za wenzenu huwa hamtoboi!

Roho mbaya na wivu wa kike haujengi mkuu. Learn to appreciate your fellow men for what they do!

Yaani nyie mtu akifanya vizuri lazima mtafute sababu hasi (na mara nyingi huwa hamzikosi) za kumfanya aonekani sio sifa yake au sio juhudi yake au hastahili kusifiwa kafanya vibaya.

Mchawi mpe sifa yake! Mtu ameweza kupaa kubali kwanza kapaa sio unaanza mara oohh katumia hirizi, mara ooh katumia dawa, nk. Kwani wewe hizo hirizi na dawa huzioni?? Let's be real

Mtu una mroho mbaya kama huo utatoboa kweli??
 
Utakuwa na Shida Ww, Unaanzaje Kutamani Sauti Ya Mwanaume Mwenzako
Nianze kwa kutoa pongezi kwao IPP Media kwa kuwa na jicho la kipekee kabisa la kuona talanta mbalimbali kubwa kwenye utangazaji.

Kenedy alitoka East Africa redio na kwenda Clouds mwaka 2015 na nikiri tu kwa kusema huyu jamaa amebarikiwa aisee,ana vitu ambavyo watangazaji wengi hawana mfano sauti ya kipekee na vingine,pia kuwa relevant na what goes around..kwa wafuatliaji wa media utaona kuwa hakuna talent mpya kali kwa kipindi hiki ila huyu anaweza kuwa mmoja wapo..

Big up IPP kwa jicho la kipekee
 
Kuna wasemaji wa kwenye redio na watangazaji wa redio.

Clouds ina wasemaji wa redioni EA Radio ina watangazaji.
Lakini Watangazi wanaiga wasemaje, Leo nimesikiliza kipindi cha akina Dullah nikaskia wanaiga kale kamsemo ka Clouds ka Sawasawa kwa tone ile ile. Nikawaza kwanini clouds ina effect sana kwa watangazaji wa redio nyingi hasa hizi redio za mkoani. Mtu anataka acopy apaste vile vile Mchomvu anavyotangaza
 
Jamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.

Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.

Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.
mamy baby alikuwa mtangazaji wa muda mrefu radio 5 arusha
 
Jamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.

Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.

Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.
Najiuliza ina maana mzee Mengi alishindwa kuwalipa hawa vijana ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom