Awuot
JF-Expert Member
- Nov 10, 2018
- 1,172
- 1,399
Labda anamchezea nyimbo anazozipenda yeye.Changes gani ameleta kwenye Entertainment Industry? Uniqueness gani anayo? Kitu gani kinamtofautisha na wengine ambacho wengine hawana kabisa
Labda anamchezea nyimbo anazozipenda yeye.Changes gani ameleta kwenye Entertainment Industry? Uniqueness gani anayo? Kitu gani kinamtofautisha na wengine ambacho wengine hawana kabisa
Anamchezea 😂😃😁Labda anamchezea nyimbo anazozipenda yeye.
The Cruise kulikuwa na mtu anaitwa Bazil Mbakile........alikuwa ana simama pekee yake.Jamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.
Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.
Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.
Huko sio kusifia ni kukubali kazi ya mtu. Wazungu wanasema ku appreciate!MWANAUME KUMSIFIA MWANAUME MWENZAKE NI USHOGA WA KIWANGO CHA MASTERS DEGREE ASEEEEEEEEEEE
oooh may beLabda anamchezea nyimbo anazozipenda yeye.
Nianze kwa kutoa pongezi kwao IPP Media kwa kuwa na jicho la kipekee kabisa la kuona talanta mbalimbali kubwa kwenye utangazaji.
Kenedy alitoka East Africa redio na kwenda Clouds mwaka 2015 na nikiri tu kwa kusema huyu jamaa amebarikiwa aisee,ana vitu ambavyo watangazaji wengi hawana mfano sauti ya kipekee na vingine,pia kuwa relevant na what goes around..kwa wafuatliaji wa media utaona kuwa hakuna talent mpya kali kwa kipindi hiki ila huyu anaweza kuwa mmoja wapo..
Big up IPP kwa jicho la kipekee
Lakini Watangazi wanaiga wasemaje, Leo nimesikiliza kipindi cha akina Dullah nikaskia wanaiga kale kamsemo ka Clouds ka Sawasawa kwa tone ile ile. Nikawaza kwanini clouds ina effect sana kwa watangazaji wa redio nyingi hasa hizi redio za mkoani. Mtu anataka acopy apaste vile vile Mchomvu anavyotangazaKuna wasemaji wa kwenye redio na watangazaji wa redio.
Clouds ina wasemaji wa redioni EA Radio ina watangazaji.
Mimi ninachojua jamaa amekuwa msukule wa B DOZEN "Kweri kweri"
Yaani hata DOZEN akimwambia nitakuf**ra jamaa anajibu "Oyaaaaaa"
Halafu naona ana mafua yasioisha.
Kuna ID moja hivi mnapokezana, bila shaka inapopigwa ban unalog in na nyingine.
Tofauti na uwazavyo mkuu.....ID yangu hii hapa tuKuna ID moja hivi mnapokezana, bila shaka inapopigwa ban unalog in na nyingine.
Sawa mkuuTofauti na uwazavyo mkuu.....ID yangu hii hapa tu
Hahaa alipie tangazo hata kama yuko vizuri
mamy baby alikuwa mtangazaji wa muda mrefu radio 5 arushaJamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.
Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.
Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.
Najiuliza ina maana mzee Mengi alishindwa kuwalipa hawa vijana ?Jamaa hauna data kabsa. Kwa taarifa yako IPP ndo kiwanda kikubwa cha kuibua vipaji vya utangazaji na mambo mengne yanayohusiana na hayo.
Kennedy the Remedy, Mamy Baby, Dj Sinyorita wote walitoka East Africa Radio kweny kipindi cha The Cruise.
Ila nikiri tuu tangu hizo mtu 3 zenye chemistry ya hali ya juu ziondoke The Cruise nayo ikawa km imepooza.