Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 168
- 254
Nianze kwa kutoa pongezi kwao IPP Media kwa kuwa na jicho la kipekee kabisa la kuona talanta mbalimbali kubwa kwenye utangazaji.
Kenedy alitoka East Africa redio na kwenda Clouds mwaka 2015 na nikiri tu kwa kusema huyu jamaa amebarikiwa aisee,ana vitu ambavyo watangazaji wengi hawana mfano sauti ya kipekee na vingine,pia kuwa relevant na what goes around..kwa wafuatliaji wa media utaona kuwa hakuna talent mpya kali kwa kipindi hiki ila huyu anaweza kuwa mmoja wapo..
Big up IPP kwa jicho la kipekee
Kenedy alitoka East Africa redio na kwenda Clouds mwaka 2015 na nikiri tu kwa kusema huyu jamaa amebarikiwa aisee,ana vitu ambavyo watangazaji wengi hawana mfano sauti ya kipekee na vingine,pia kuwa relevant na what goes around..kwa wafuatliaji wa media utaona kuwa hakuna talent mpya kali kwa kipindi hiki ila huyu anaweza kuwa mmoja wapo..
Big up IPP kwa jicho la kipekee