Kenedy the remedy na Mamy barbie

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
643
844
Niaje washkaji zangu.? I hope weekend imekaa powa sana.

Leo ninapenda kuweka wazi ni jinsi gani Ninawakubali hawa watangazaji wawili kutoka cloudsfm, kiukweli sikuwa msikilizaji wa Clouds bt hawa ndo wamenifanya nihamie katika masafa ya Clouds fm. Kinachonifanya niwakubali ni Aina yao ya Utangazaji,hawa sio waigizaji pale wanapo kuwa on air wana aina flani hivi ya swaga ambayo watangazaji wengine "Kwa mtazamo wangu" wamekosa,wanajua kuburudisha na kukufanya uwe focus kusikiliza radio,.

Ile sauti ya mamy pamoja na kicheko chake ndo kabisaaa kinaniturn me on. Napenda sana kuwapongeza vijana hawa wawili kwa kazi nzuri wanayofanya bila kumsahau Dj sinyorita.
Nawatakieni Weekend njema
*Mwenye namba ya mamy ani"PM" tafadhali
 

Attachments

  • tmp-cam-1195354166.jpg
    tmp-cam-1195354166.jpg
    12.5 KB · Views: 558
Aisee sijasikiliza xxl miaka miwili sasa kweli uzee umeninyemelea, kwani B12 na Mchomvu hawapo au hayo majina mapya yametake over?
 
Najiulizaga sana, hvi East Africa Radio hawalipi vizuri? Au ukiwa pale majungu mengi? Au meneja vipindi au mkurugenz hana uelewa wa kazi yake? Miaka nenda miaka rudi East Africa radio wanakuwa na watangazaj/dj's wazuri and then huwa hawakai na wanaondoka mfano, Dj Mafuvu, seba (yupo choice fm) George Bantu, Kenedy,Mamy (clouds )
 
Asante kwa kuliona hilo. Hao nili waelewaga wakiwa huko saivi... Hapana
"Truth to be told" EA radio(ipp media) iko powa sana na wamejipanga bt nahisi kuna kitu kinamiss ndio maana wafanyakazi wanakimbia. Kama ningepata nafasi ya kumshauri bwana mengi ningemwambia awape mikataba na pesa nono wafanyakazi wake.
 
Najiulizaga sana, hvi East Africa Radio hawalipi vizuri? Au ukiwa pale majungu mengi? Au meneja vipindi au mkurugenz hana uelewa wa kazi yake? Miaka nenda miaka rudi East Africa radio wanakuwa na watangazaj/dj's wazuri and then huwa hawakai na wanaondoka mfano, Dj Mafuvu, seba (yupo choice fm) George Bantu, Kenedy,Mamy (clouds )
Tatizo ni pesa ya madafu basi
 
Najiulizaga sana, hvi East Africa Radio hawalipi vizuri? Au ukiwa pale majungu mengi? Au meneja vipindi au mkurugenz hana uelewa wa kazi yake? Miaka nenda miaka rudi East Africa radio wanakuwa na watangazaj/dj's wazuri and then huwa hawakai na wanaondoka mfano, Dj Mafuvu, seba (yupo choice fm) George Bantu, Kenedy,Mamy (clouds )
Mimi sijawahi fanya kazi EATV ila nachokifahamu kati ya TV zinazooperate professionally makampuni ya IPP media yanaongoza nadhani shida inaweza kua kwenye mishahara Ipp na kampuni zake wako very professional...
 
Najiulizaga sana, hvi East Africa Radio hawalipi vizuri? Au ukiwa pale majungu mengi? Au meneja vipindi au mkurugenz hana uelewa wa kazi yake? Miaka nenda miaka rudi East Africa radio wanakuwa na watangazaj/dj's wazuri and then huwa hawakai na wanaondoka mfano, Dj Mafuvu, seba (yupo choice fm) George Bantu, Kenedy,Mamy (clouds )
bado dulla na sam misago wakiondoka hawa ni pengo kubwa
 
Tanzania hii co ya kugombania watangazaj coz vijana wengi tu wanamaliza vyuo so hata wakiondoka wanakuja wengine wazur tu
 
Back
Top Bottom