Kitumburee
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 139
- 88
Salama wanajamvi?
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani ya wiki tatu zijazo.
Na mvua za masika ndio naona zimeanza hapa Dar. Sasa naingia wasiwasi kama kenchi zinaweza kuharibika. Naombeni ushauri wadau kama kweli zinaharibika zikikaa sana na je nifanye nini kuzuia uharibifu.
Nyumba iko Dar na nimetumia mbao zenye dawa. Ila ni mbao za dawa ya kuchovya sio zile za kuchemsha
Wasalaam
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani ya wiki tatu zijazo.
Na mvua za masika ndio naona zimeanza hapa Dar. Sasa naingia wasiwasi kama kenchi zinaweza kuharibika. Naombeni ushauri wadau kama kweli zinaharibika zikikaa sana na je nifanye nini kuzuia uharibifu.
Nyumba iko Dar na nimetumia mbao zenye dawa. Ila ni mbao za dawa ya kuchovya sio zile za kuchemsha
Wasalaam