Kempinski, mambo mazuri!

Chumbe nimeshatembelea sana Mkuu, miaka ile ya mwishoni ya Tisini, katika hatua za awali za ujenzi wake, na kubahatika kualikwa rasmi wakati wa ufunguzi wake!

Mkuu huko kwa kupiga chabo coral reef ndio penyewe... wacha kobe na visnake vya hapa na pale...Ni Chumbe huko!

Si unajua tena Chumbe kulivyo karibu na Chukwani, bandari isiyo rasmi hapo Zenj
 
Chumbe nimeshatembelea sana Mkuu, miaka ile ya mwishoni ya Tisini, katika hatua za awali za ujenzi wake, na kubahatika kualikwa rasmi wakati wa ufunguzi wake!

Mkuu huko kwa kupiga chabo coral reef ndio penyewe... wacha kobe na visnake vya hapa na pale...Ni Chumbe huko!

Si unajua tena Chumbe kulivyo karibu na Chukwani, bandari isiyo rasmi hapo Zenj

...saaafi sana, waliniacha hoi na vyoo vya shimo vya 'kidhungu! nami nilipandia boti kwenye hiyo hiyo bandari isiyo rasmi, karibu na fishermen Resort pale :)
 
...saaafi sana, waliniacha hoi na vyoo vya shimo vya 'kidhungu! nami nilipandia boti kwenye hiyo hiyo bandari isiyo rasmi, karibu na fishermen Resort pale :)
:D :D
Wenyewe wanaviita Dry Toilet
 
Kumbe hawa jamaa wako serious na business za hotel eehhh!!!
Big up Kempinski MANAGEMENT kwa kweli..........

ALL THE BEST IN YOUR FUTURE INVESTMENT
 
Kumbe hawa jamaa wako serious na business za hotel eehhh!!!
Big up Kempinski MANAGEMENT kwa kweli..........

ALL THE BEST IN YOUR FUTURE INVESTMENT

....naaaaam, naaaam!

nadhani wale walioonja chumvi kidogo wanaikumbuka Hotel Village77 pale Arusha. Enzi zake palikuwa pananoga sana, kila jioni kuna live band ya wale wagoa,... mikutano ya kimataifa nk... lakini ndio hivyo tena.

Good News, Kempinski wameichukua, vyumba 300 vitapatikana hapo na huduma ya nyota tano!

Kempinski acquires Arusha's Hotel 77
Posted: Saturday September 20, 2008 3:58 AM BT

By Nchiume

The historical Hotel 77 in Arusha has been sold to the Kempinski Hotels, the Minister for Tourism and Natural Resources, Prof Jumanne Maghembe, told the 'Daily News' yesterday. Prof Maghembe said the government has sold the hotel and all its assets through the Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC). He, however, did not say it was sold what price.

"The main aim to sell it is for the investor to build a high standard hotel for the city," he said.

The minister said that Kempinski Hotels would upgrade the hotel to a five-star status and will have over 300 rooms. The village-style hotel was built specifically for the Group of Seventy Seven Nations meeting held in Arusha in 1979.
 
hotel77_4.JPG
hotel77_3.JPG

hotel77_2.JPG
hotel77_1.JPG

hotel77_5.JPG
hotel77_6.JPG

...Hotel77 enzi za uhai wake. Vyumba vya kulala wageni 368 enzi zake.
Haya; tuwasubirie 'wawekezaji' wa Kempinski wafanye kweli;​

Kempinski Hotels, which also owns Kempinski Hotel in Zanzibar, was founded in Germany 110 years ago. It is the oldest luxury hotel collection in the world which now owns and operates an international portfolio of 59 hotels.
 
Kibunango, ushawahi kutalii Chumbe Island Coral Reef? ...kama hujawahi kwenda, likizo mpeleke mamsapu hapo japo kwa usiku mmoja aisee, raha tupu jioni 'kufungamana' na nature!

zanzibar_008p.jpg


....ooooppppsss, nilisahau kuweka 'ma penny', kwa usiku mmoja inakugharimu pesa kidogo tu,
USD 255 kwa mtu mmoja, ukienda na mamsapu jiandae na Credit Card ulipie USD 510 tu!​

Do you pay per person or per room?
 
...naaaaaam, 'chenji' kidogo tu hiyo uki compare na hadhi ya huyo mamsapu :D

ila kama reviews zinavyojionyesha, kama unaona ubahili tembelea kiota cha bei chee ndani ya mbuga ya Serengeti, Lobo wildlife lodge au Seronera Lodge :(

Shime wananchi, tuunyanyue uchumi wetu angalau kwa kutembelea mbuga zetu.

Sawa marketing manager! Ila wameanza kipindi kibaya kidogo maana mwaka huu ngozi nyeupe haba kidogo labda wajaribu ushauri wa mkulu wa kupunguza gharama kwenye visa na wapunguze pia kwenye fee za park zetu tutawafumania msimu wa mwakani. Kwa wamakonde wenzangu labda liibuke deal la umeme mwingine ndo tumudu kwenda huko. Mimi nitaendelea kila mara kutumia hema mzee.
Karibu kwenye hema kaka maana hata hizo fedha tutakazo walipa Kempinski hazina account Tanzania!
Angalia booking za CC Africa mpaka ziende zikafanyiwe confirmation south Africa ndo upate chumba.
Lakini sikukatishi tamaa enedelea kuhamasisha kaka!
 
Do you pay per person or per room?

per person ndugu yangu.

Sawa marketing manager! Ila wameanza kipindi kibaya kidogo maana mwaka huu ngozi nyeupe haba kidogo labda wajaribu ushauri wa mkulu wa kupunguza gharama kwenye visa na wapunguze pia kwenye fee za park zetu tutawafumania msimu wa mwakani. Kwa wamakonde wenzangu labda liibuke deal la umeme mwingine ndo tumudu kwenda huko. Mimi nitaendelea kila mara kutumia hema mzee.
Karibu kwenye hema kaka maana hata hizo fedha tutakazo walipa Kempinski hazina account Tanzania!
Angalia booking za CC Africa mpaka ziende zikafanyiwe confirmation south Africa ndo upate chumba.
Lakini sikukatishi tamaa enedelea kuhamasisha kaka!

duh, mara ushaniita marketing manager?, hapana bana mimi nahamasisha uzalendo tu.

According to the Governor of the Bank of Tanzania (BoT), Prof. Benno Ndulu, tourism is expected to generate US$1 billion, which is contribution to about three times the annual income gained from agriculture.

wanaofaidika na biashara ya watalii sio kempinski peke yao, kuna;

1. 75% ya waajiriwa ni watanzania wenzetu walioajiriwa 'direct' kufanyakazi kwenye hayo mahoteli, na wale 'indirect' mfano; wajenzi wa mabarabara kuelekea kwenye mahoteli hayo, vibarua na wajenzi wa mahoteli hayo nk
2. Suppliers wa kitanzania wanajipatia kipato kwa ku supply vyakula, stationeries, maua, nk kwenye hayo mahoteli incl wakulima wa mazao hayo
3. Madereva/Tour guides wanajipatia kipato kwa kuwatembeza hao watalii.
4. Curio shop owners pamoja na wachonga vinyago, wachoraji, watengeneza Batiki, nk nao humo humo wananufaika bidhaa zao zinaponunuliwa na watalii
5 nk nk...

Usiangalie pesa za malazi pekee :)
 
The Chelewa thatching for Kempinski was even done by a Tanzanian company. "mcheza kwao hutunzwa". Company is called Pownall Tanzania Ltd and its the only company that does it. And its supposed to last from 30years - 50years. All the material (chelewa) is brought in from the coast......Tanga, Pemba, Mafia etc. Providing employment in the remote coastal regions. Its eco friendly and very sustainable. And it looks much better then the pictures.
 
...thubutu yake!

Nami pai nasikia kuwa ana hisa na ndo maana akifika Arusha lazima afike Serengeti.

Niulize tu, hivi hii ya Ngurdoto ni ya nani? maana naona vikao vingi vya viongozi/semina elekezi huo vinafanyikia huko, ua serikali ina hisa huko ninin?
 
kempinski opening the 74 room bilila lodge kempinski, the largest lodge ever built in the serengeti national park

kempinski has announced that bilila lodge kempinski will open on 1 june 2009 in the serengeti national park, one of tanzania's unesco world heritage sites, claiming a first as the only global hotel chain to have a stake in the lodge market.

with just 74 rooms (including two private villas), bilila lodge kempinski perfectly combines the intimacy of a lodge and the facilities expected of a much larger hotel, such as an infinity pool overlooking the grasslands and an anantara spa. Due to strict building controls in the national park, this will be the largest lodge ever built in the serengeti.

as expected of a unesco world heritage site, the lodge has been built in keeping with the landscape. Not only does the arc-shaped building follow the natural contours of the land, but as far as possible only local materials have been used in its construction to ensure that it blends into its surrounds. For example, over a million traditional "chelewa" brooms have been used to create the thatched roof and the stone for the walls was sourced from nearby mugumu. The interiors also reflect the natural colours of the african landscape, with the work of local artists adding colourful highlights.

public areas include a restaurant with an open kitchen, a lounge, a bar, a wine cellar, an authentic boma (or corral) where guests can enjoy moonlit barbecues, a conference room accommodating up to 80 people, a library, a play room, a fitness centre, an art gallery and a gift shop. all the guest rooms have luxury ensuite bathrooms, multimedia dvd players, over 50 satellite tv and radio channels, coffee/tea making facilities and a teak deck for relaxing while watching game (personal telescope included); suites have their own private plunge pool.

kempinski_billalodgeroom.jpg


bilila lodge kempinski guest room
.
kempenski_billalodgeexterior.jpg


bilila lodge kempinski entrance

bilila lodge kempinski is located in the central north of the serengeti national park, in an untouched part of the park where the hotel will have its own private game drives. the hotel is a 45-minute drive from the seronera airstrip, which in turn is a 50-minute flight from arusha, the nearest international airport, into which klm currently flies on tuesdays, fridays and saturdays. Airlines such as swiss, emirates, british airways, south african airways and qatar fly into either nairobi or dar-es-salaam, from where connecting flights to arusha can be picked up. Bilila lodge kempinski is a destination in its own right, but can also be twinned with its sister property zamani zanzibar kempinski for an idyllic two-centre holiday, combining the best safari and beach destinations.

...haya haya tena ndugu zanguni, mcheza kwao hutunzwa...kampuni ya kempinski wameshafungua 'kiota' kikali sana mbugani serengeti, asiye mwana aeleke jiwe, residents rates (watanzania) ni usd 280 (approx ts 364,000/= kwa siku) kwa mtu mmoja, hiyo kujumuisha malazi, kifungua kinywa na mlo mmoja i.e iwe ni mchana au usiku).

Perfect location kwenda kujipumzisha na 'mamsapu', btw hizi pesa tunazozihangaikia miaka nenda rudi tunaziacha hapa hapa duniani au sio? Shime angalau once in life time kujikakamua 'kuzitumbua' hizo chapaa mbili ukiwa 'mtalii wa ndani'.


Siwezi kusupport upumbavu wa jinsi hii..!!! Kama unazijua vizuri baadhi ya tabia za wanyama poli basi hutoweza kukubaliana na ujenzi huo kwa 100% . Jinzi tunavyosogeza karibu makazi ya binadamu karibu na wanyama poli nao husogea mbali . Hii ya ujenzi ni moja kati ya sifadi kwa wanyama na viumbe wa polini kwani zinazoharibu makazi na hifadhi zao.

Ningeshauri ujenzi huo ungefanyika nje ya mbuga na kujengwa maeneo ya Arusha au hata maeneo ya Manyara ambayo yapo mbali na maeneo ya wanyama. Hotel moja inatosha sana huko mbugani...tena itumike kama emergency endapo usafiri utakuwa wa shida au wateja watalazimika kulala mbugani.

Kujenga Hotel nzuri haimaanishi ukajenge hata katikati ya uwanja wa taifa bali tunatazama na mazingira pia.

Tumekosoa waarabu wa Loliondo kwa kujenga uwanja wa ndege mbuga tukijua fika kwamba midege inayotua pale inaleta usumbufu kwa viumbe waliopo maeneo yale na kusababisha baadhi kuhama kabisa.

Kama tutaendelea kujenga mihoteli ya kifahari kule maana yake ni tuwakimbize wanyama wahamie Kenya ?
 
Last edited:
Siwezi kusupport upumbavu wa jinsi hii..!!! Kama unazijua vizuri baadhi ya tabia za wanyama poli basi hutoweza kukubaliana na ujenzi huo kwa 100% . Jinzi tunavyosogeza karibu makazi ya binadamu karibu na wanyama poli nao husogea mbali . Hii ya ujenzi ni moja kati ya sifadi kwa wanyama na viumbe wa polini kwani zinazoharibu makazi na hifadhi zao.

Ningeshauri ujenzi huo ungefanyika nje ya mbuga na kujengwa maeneo ya Arusha au hata maeneo ya Manyara ambayo yapo mbali na maeneo ya wanyama. Hotel moja inatosha sana huko mbugani...tena itumike kama emergency endapo usafiri utakuwa wa shida au wateja watalazimika kulala mbugani.

Kujenga Hotel nzuri haimaanishi ukajenge hata katikati ya uwanja wa taifa bali tunatazama na mazingira pia.

Tumekosoa waarabu wa Loliondo kwa kujenga uwanja wa ndege mbuga tukijua fika kwamba midege inayotua pale inaleta usumbufu kwa viumbe waliopo maeneo yale na kusababisha baadhi kuhama kabisa.

Kama tutaendelea kujenga mihoteli ya kifahari kule maana yake ni tuwakimbize wanyama wahamie Kenya ?

...sawa sawa, ila tukiangalia ramani hii kwa mfano tunajifunza wanyama wanatabia ya kuhama hama pia...

The below maps show the migratory path of the Serengeti Wildebeest and Burchell's Zebra. The exact route and timing of the migrating Wildebeest and Zebra is dependent on climatic conditions. We have given the average movement and location during any given month, but these should only be used as approximations. The best time see the Serengeti migration is when they are crossing the Grumeti River in the Western Serengeti or while they are crossing the Mara River into the Masai Mara National Park.
...Nakubaliana nawe ujenzi holela utachangia uharibifu wa mazingira na tabia asilia za wanyama. Lakini, ili kuvutia watalii wa hadhi za kimataifa waje Tanzania na serikali ijipatie pato la maana, inabidi pajengwe hoteli zenye kukidhi matakwa ya wageni hao.

Hifadhi ya Serengeti ina Ukubwa usiopungua kilometa za mraba 5,700. Kujenga mahoteli nje ya mbuga maana yake unataka mtalii aende game drive zaidi ya kilometa 500 au zaidi... Ukizingatia hizo Off roads na adha yake tutajikuta tunaruddia kule kule wanajionea bora kwenda Maasai Mara Kenya kwenye hoteli bora na tena zilizo ndani ya mbuga.

Hata hivyo tuendelee kuwa macho, Wajinga wachache huko serikalini (kwa tamaa zao) wakaja tumalizia hata hiki kidogo tulichobakia nacho. Maana tunaona Mlima Kilimanjaro unavyokuwa 'abused' kiasi cha kuhatarisha kama sio tumekwishachelewa kulinda mimea, wadudu na wanyama waliokuwepo kwenye mlima ule.
 
Kama hoteli zenyewe Bei zake ni uwards of $250,basi msitegemee watanzania watafaidi matunda ya Utalii wa ndani,hizo bei ni exclusively wageni tu ndio watakaozifaidi.na kama asilimia 0.5 ya watanzania wanaojiita middle class.

Wale wenzangu na mie wanaotegemea kuishi kwa mshahara na posho kwenda huko ni ku-sabotage uchumi wa familia.ujenzi wa Malazi ya mbuga za wanyama yawekwe kwa makundi tofauti ya kipato yaliyopo tanzania.la sivyo huo utalii wa ndani utakuwa historia.
 
Kama hoteli zenyewe Bei zake ni uwards of $250,basi msitegemee watanzania watafaidi matunda ya Utalii wa ndani,hizo bei ni exclusively wageni tu ndio watakaozifaidi.na kama asilimia 0.5 ya watanzania wanaojiita middle class.

Wale wenzangu na mie wanaotegemea kuishi kwa mshahara na posho kwenda huko ni ku-sabotage uchumi wa familia.ujenzi wa Malazi ya mbuga za wanyama yawekwe kwa makundi tofauti ya kipato yaliyopo tanzania.la sivyo huo utalii wa ndani utakuwa historia.

...it's the same 'music' kila nchi utayokwenda. Ni hali ya maisha/kawaida tu hiyo, priorities zinatofautiana.
 
Back
Top Bottom