Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Chumbe nimeshatembelea sana Mkuu, miaka ile ya mwishoni ya Tisini, katika hatua za awali za ujenzi wake, na kubahatika kualikwa rasmi wakati wa ufunguzi wake!
Mkuu huko kwa kupiga chabo coral reef ndio penyewe... wacha kobe na visnake vya hapa na pale...Ni Chumbe huko!
Si unajua tena Chumbe kulivyo karibu na Chukwani, bandari isiyo rasmi hapo Zenj
Mkuu huko kwa kupiga chabo coral reef ndio penyewe... wacha kobe na visnake vya hapa na pale...Ni Chumbe huko!
Si unajua tena Chumbe kulivyo karibu na Chukwani, bandari isiyo rasmi hapo Zenj