Teh teh teh auh hauwezi kukosea kutamka neno zaidi ya mara mbili tatizo ninaloliona mtangazaji hakujiandaa kabla ya kipindi . ATN wawawekee mazingira mazuri watangazaji wao kwani wanatakiwa wapumzike lau nusu saa ndio waingie kwenye kipindi hali inayomfanya atulie kiakili na kimwili hivyo kuwa makini na kile anachokifanya studio