peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,769
- 21,323
Bila shaka na semina sasa zimeanza mahotelini, nimeanza kupata mashaka now, kila mahala na magari yetu bar...
Zinakuuma mini si uajiriqe serikalini na ww uende semina
Pale mwizi anapolalamika kuibiwa. Ccm wote ni wezi. Bila hivyo hakuna anayeweza kukaa humo.Nahisi kunakikundi komeachiwa kuiba ili kulipa walivyokswa wakati wa Magu.
😅😅😅Wapinzani walituchelewesha mno!!!