Mwalimu Mkuu huwezi kuunda tume ya kuchunguza KELELE za wanafunzi wakati umezisikia kuwa;
1.Monitor haandiki majina ya wapiga kelele
2.Mwl wa darasa hawasikilizi wanafunzi
3.Mwl wa nidhamu hawajibiki ipasavyo.
Kutokufundishwa na Mwl wanafunzi wataanza kuongea wao kwa wao mwisho huzaa kelele.
1.Monitor haandiki majina ya wapiga kelele
2.Mwl wa darasa hawasikilizi wanafunzi
3.Mwl wa nidhamu hawajibiki ipasavyo.
Kutokufundishwa na Mwl wanafunzi wataanza kuongea wao kwa wao mwisho huzaa kelele.