Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,173
- Thread starter
- #81
😂😂😂 mkuu na wewe ulitakiwa utafute chombo, nacho kianze kuwapigia keleleKuna siku nilipata dili mkoani Mwanza, nikalala hotel flan hivi hapo town, mida ya sa tatu hiv naperuz simu yangu nikasikia kelele chumba kinachonifuata, nakufaa! nakufaaa! unaniua Doni, nikastuka maana ni sauti ya kike nikaenda mapokez nikamwambia mdada wa mapokez chumba namba 30 kuna usalama kweli maana nasikia mtu anapiga kelele 'anakufa huko' , dada wa mapokez akaninijibu hata wao siku ya kwanza walijua mtu anauliwa waliendaga kuwagongea kumbe yalikuwa mayoe ya mahaba na sio kifo tunachokijua.. nilichoka nikaenda zangu kulala tu.