Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,733
- 15,193
Mara nyingi watu wa hali ya chini wamekuwa wakiimbishwa nyimbo wasizozijua hasa lengo lake ni nini.
Licha ya sasa hivi watu wa hali ya chini kuwa na hali mbaya jiuchimi, huduma muhimu kwa jamii kupanda bei kwa kiwango cha kutisha, kuharibiwa biashara zao na wengine kuanza upya kabisa baada ya mitaji kukata lakini hutakaa usikie redio, au gazeti au kiongozi mkubwa akiwatetea.
Badala yake utasikia redio na Tv na magazeti yakitangaza hali ya maisha ni nzuri mno kwa wananchi, vyuma vimelegea na hela zimejaa mitaani!
Lakini ukigusa biashara za wakubwa wasiolipa kodi ,kesho yake magazeti, redio na Tv zitaandika vyuma vimebana hela hamna mfukoni kwa sababu biashara zinafungwa
Yani biashara za wakubwa tu zikifungwa ndiyo shida ila zinapofungwa za walala hoi hapo hamna shida.
Hiyo ndiyo Tanzania.
Licha ya sasa hivi watu wa hali ya chini kuwa na hali mbaya jiuchimi, huduma muhimu kwa jamii kupanda bei kwa kiwango cha kutisha, kuharibiwa biashara zao na wengine kuanza upya kabisa baada ya mitaji kukata lakini hutakaa usikie redio, au gazeti au kiongozi mkubwa akiwatetea.
Badala yake utasikia redio na Tv na magazeti yakitangaza hali ya maisha ni nzuri mno kwa wananchi, vyuma vimelegea na hela zimejaa mitaani!
Lakini ukigusa biashara za wakubwa wasiolipa kodi ,kesho yake magazeti, redio na Tv zitaandika vyuma vimebana hela hamna mfukoni kwa sababu biashara zinafungwa
Yani biashara za wakubwa tu zikifungwa ndiyo shida ila zinapofungwa za walala hoi hapo hamna shida.
Hiyo ndiyo Tanzania.