Kelele za vilabu katika eneo la makazi

fluid

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
354
220
jamani wana jf mimi nina nyumba yangu ila sasa, jirani yangu kafungua bar.na kaanza kupiga live band.yani sauti.lote linaingia kwangu..je kisheria hii ni sawa?
 
Pole sana lakini kama walikukuta wamefanya nuisance! Hivyo unaweza kwenda kwenye vyombo vya usalama wa raia au sheria kuriport! Tatizo huku kwetu hakuna sehemu maalum za starehe wala makazi, me naona watu wanachanganya tu makazi na nyumba za starehe! Sehemu nyingine unakuta shule iko karibu kabisa na bar!

Kama una uhakika wewe ndio ulianza kuja hapo kariport kwenye vyombo usika!

jamani wana jf mimi nina nyumba yangu ila sasa, jirani yangu kafungua bar.na kaanza kupiga live band.yani sauti.lote linaingia kwangu..je kisheria hii ni sawa?
 
Pole sana lakini kama walikukuta wamefanya nuisance! Hivyo unaweza kwenda kwenye vyombo vya usalama wa raia au sheria kuriport! Tatizo huku kwetu hakuna sehemu maalum za starehe wala makazi, me naona watu wanachanganya tu makazi na nyumba za starehe! Sehemu nyingine unakuta shule iko karibu kabisa na bar!

Kama una uhakika wewe ndio ulianza kuja hapo kariport kwenye vyombo usika!

bwana shukran boss..wao ndio wamenikuta maana nyumba yangu ilikuwa NHC Enzi hizo..na mi nlishainunua zamani kabla hawajaja..ila natafuta kabisa vifungu vya sheria ili niwamalize maana hii kweli ni nuisance
 
Back
Top Bottom