matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Majina yamenitoka kidogo. . ngoja kesho ntaenda kunusa nusa sehemu alafu nikwambie.
pouwa pouwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina yamenitoka kidogo. . ngoja kesho ntaenda kunusa nusa sehemu alafu nikwambie.
ha ha ha ha ha!we mtoto mjanja sana..unajua marashi ndio ugonjwa wangu sasa hapo umenimaliza kabisaaa.ok ngoja wkend nizame jd pharmacy nikamchekie iyo D&G.. Na mimi nakupendekezea Britney fantacy ijaribu kama bado imesimama..
Kuhusu maua sina swali,umemaliza kila kitu.
aaah lizzy nipendekezee na mimi ya kiume basi unayoizimia.
Hahahaah I know you like that.
Hhhm afadhali nimepata mtu wa kumwibia. . . .lolz
Britney Fantacy nimeitumia kuna hii inaitwa Taylor of london..
ni bora zaidi kuliko hiyo ya Britney... harufu yake iko kwenye range hiyo hiyo...
yeah hiyo ya D&C ataipenda sana... good choice ...oa
kwa wanaume napenda hizi ..
diesel , Drakkar Noir, armani code, boss....
you will never go wrong with Armani code & Diesel..
David backem yaaaaaak .. usinunue teh teh tehteh lol..
tatizo la perfume kila mtu ana test yake tho... lol
Hahahahaha mi perfume ndo sipendi bana. . .kuna watu wengine wakiingia bafuni kwako tu wanajipulizia kama vile hawapangi kuoga milele!!Lolz. . ukija kushtukia inaelekea kuisha wakati mwenyewe hujatumia zaidi ya mara 20.kwenye perfume sina shida,, chukua tu..
kwenye viatu tutavuana maagauni hahahaha lol
aya.we jamaa unataka pdiddy akuletee keki adi bafuni? astaghafulkjhjghjk88#$Mnaweza kuniletea keki hiyo hadi bafuni?