Keep up the flame in your relationship.....

its not a matter of u busy lkn kumbadilisha mtu kutoka kule alikokuwa ni ngum sana,utamwambia mtu leo tupike pamoja mwenzio anarudi katoka zake bar huko full kula nyama mbuzi,atakuelewa ww na ubwabwa wako?unamwambia mwenzio msome novels pamoja while yy amnataka kuangalia falii pupa!yani lugha gongana,wanaume wetu hawa bana twawajua wenyewe ukitaka kumpliz ni ww uwe side yake,akikwambia leo kuna mpira basi ww kubali kwenda nae qbar mkawatch mechi,akisema leo kuna ngumi nenda nae diamond,wao kuja upande wetu like kupika,watching movie etc ni one in a million si kama hawapo wapo but thats a karl marx theory kwakweli.
Naona LIKE_METER yangu juu yako inasoma 175 na limit ni 180.......upo juu
 
From this article u can pick points ambazo zinakufaa au unazoweza kuzifanyia kazi its a good article
 
Orait, basi nendeni mkaokote kuni pamoja, twangeni mahindi ya makande pamoja, Nendeni kilabuni pamoja,
have I missed out any fun thing that you will not be doing together? I guess not.
kwa hiyo umekubaliana na mimi kua zile alizoandika smile ni za kimagharibimagharibi/kimjinimjini na hizi usemazo ni za kikwetu au sio Big?
 
its not a matter of u busy lkn kumbadilisha mtu kutoka kule alikokuwa ni ngum sana,utamwambia mtu leo tupike pamoja mwenzio anarudi katoka zake bar huko full kula nyama mbuzi,atakuelewa ww na ubwabwa wako?unamwambia mwenzio msome novels pamoja while yy amnataka kuangalia falii pupa!yani lugha gongana,wanaume wetu hawa bana twawajua wenyewe ukitaka kumpliz ni ww uwe side yake,akikwambia leo kuna mpira basi ww kubali kwenda nae qbar mkawatch mechi,akisema leo kuna ngumi nenda nae diamond,wao kuja upande wetu like kupika,watching movie etc ni one in a million si kama hawapo wapo but thats a karl marx theory kwakweli.

Dearest kama huyo ndiye unayemtegemea kuishi naye maisha yako yote basi u will find a way kuhakikisha kwamba wote mnaenda katika mstari mmoja, kama ni siku ya kukaa bar na kula nyama choma then so shall be it, but kama ni specific for the two of you to hang out together - it so will be, ni suala la kuwasiliana tu na kuwa na mpangilio na maisha yenu
 
Asubuhi mlikua wote shambani mnapalilia jioni mrudi kuyaangalia mmeshikana mikono..!! hahaha

kaka its all about having fun together...thats it! Advice is what we ask for when we already know the answer but wish we didn't.
 
Jiko la mafiga na kuni tena nje, bafu la paspot size mlango gunia, Beach??? huku Bahi sijui tutapata wapi hata mfereji hakuna,

With all due respect....ndio maana hizi ideas tunashare humu,
I cant imagine a person from such a location u are reffering to kuwa na access ya internet, could it be?
 
Ni nzuri...though some depends on a lot of factors...

  • like a night at an expensive (not just a nice) hotel...
  • reading novels would put the love of those who cant read at a stake,
  • walk at the beach is impossible for Kimey as he only can take his partner to the lovely forests of southern highlands, which again cant be done with a barefoot,
  • watching stars together is very very possible and most people even in usalule areas can aford it,
  • and doing nothing is the most popular thing in african poor settings
  • well cooking together depends solely on the whether, as if u r in Njombe, u just have to stay close to the kitchen while mama totoo cooks, unaweza tumwa chumvi here and there, but its lovely there
Journals............That is what they are called.

mkuu, si unajua unaweza kufanya hayo yoooote kwa ku-tick ....DONE.

Unajua sio kila kitu tunachofanya ni kwa Love, no, ni kwa ajili ya ku-keep the flame burning........yani ukiambiwa twende beach wewe unasema Orait, una-choose sehemu utakayopata ze national parks za kutosha. She will have you around, she will be filled with the "sartisfaction" you have no clue why, and you will still enjoy your beer and probably drag her into watching some football match at Samaki samaki on your way back home.

That simple. Tuishi nao kwa akili.
 
kaka its all about having fun together...thats it! Advice is what we ask for when we already know the answer but wish we didn't.

With all due respect....ndio maana hizi ideas tunashare humu,
I cant imagine a person from such a location u are reffering to kuwa na access ya internet, could it be?
Ngoja nitoke naona wamekua wakali kidogo...!!!
 
With all due respect....ndio maana hizi ideas tunashare humu,
I cant imagine a person from such a location u are reffering to kuwa na access ya internet, could it be?
Kwa kiswahili hapo umemaanisha nini mpenzi?
 
sku hizi mapenzi yamebaki kwenye maigizo, mziki na sredi za JF tu, kuna micouple kila wiki inakwenda hanemuni, mauwa kibao, maswiming puli na masham sham ya kumwaga. kumbe wizi mtupu! haya ni maoni yangu tu . heshima ya sredi inabaki pale pale
 
sku hizi mapenzi yamebaki kwenye maigizo, mziki na sredi za JF tu, kuna micouple kila wiki inakwenda hanemuni, mauwa kibao, maswiming puli na masham sham ya kumwaga. kumbe wizi mtupu! haya ni maoni yangu tu . heshima ya sredi inabaki pale pale

hakika we ni klorokwin
 
Journals............That is what they are called.

mkuu, si unajua unaweza kufanya hayo yoooote kwa ku-tick ....DONE.

Unajua sio kila kitu tunachofanya ni kwa Love, no, ni kwa ajili ya ku-keep the flame burning........yani ukiambiwa twende beach wewe unasema Orait, una-choose sehemu utakayopata ze national parks za kutosha. She will have you around, she will be filled with the "sartisfaction" you have no clue why, and you will still enjoy your beer and probably drag her into watching some football match at Samaki samaki on your way back home.

That simple. Tuishi nao kwa akili.

Dah....
are we thaaaaat boring jamani.....?:A S cry:
 
Ni nzuri...though some depends on a lot of factors...
  • like a night at an expensive (not just a nice) hotel...
  • reading novels would put the love of those who cant read at a stake,
  • walk at the beach is impossible for Kimey as he only can take his partner to the lovely forests of southern highlands, which again cant be done with a barefoot,
  • watching stars together is very very possible and most people even in usalule areas can aford it,
  • and doing nothing is the most popular thing in african poor settings
  • well cooking together depends solely on the whether, as if u r in Njombe, u just have to stay close to the kitchen while mama totoo cooks, unaweza tumwa chumvi here and there, but its lovely there
Comrade....nakumbuka ulinambia ulizaliwa UK. Hebu nikumbushe ni Birmingham au London?
 
With all due respect....ndio maana hizi ideas tunashare humu,
I cant imagine a person from such a location u are reffering to kuwa na access ya internet, could it be?
sasa hii journal yako ina-apply kwa ordinary citizen au kwa extra-ordinary citizen. just asking!!
 
Kimey vitu vingi tuu hasa huku africa vimekaa kimagharibi including hiyo computer unayotumia.
Unachotakiwa kufanya kama mtu alienda shule ni ku-decode concept nzima iliopo hapo na ku-apply ktk mazingira yako! Labda nimkupe mfano si lazima mwende restaurant kama haipo ila kijijini hapakosi mnada nk. Ni mambo kama hayo
 
Back
Top Bottom