Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Naona LIKE_METER yangu juu yako inasoma 175 na limit ni 180.......upo juuits not a matter of u busy lkn kumbadilisha mtu kutoka kule alikokuwa ni ngum sana,utamwambia mtu leo tupike pamoja mwenzio anarudi katoka zake bar huko full kula nyama mbuzi,atakuelewa ww na ubwabwa wako?unamwambia mwenzio msome novels pamoja while yy amnataka kuangalia falii pupa!yani lugha gongana,wanaume wetu hawa bana twawajua wenyewe ukitaka kumpliz ni ww uwe side yake,akikwambia leo kuna mpira basi ww kubali kwenda nae qbar mkawatch mechi,akisema leo kuna ngumi nenda nae diamond,wao kuja upande wetu like kupika,watching movie etc ni one in a million si kama hawapo wapo but thats a karl marx theory kwakweli.