Elections 2010 Keenja akanusha vikali tuhuma za kununua jimbo la Ubungo 2005

AMARIDONG

JF-Expert Member
Jun 24, 2010
2,502
180
Akionyesha kumuunga mkono mgombea wa CHADEMA Ubungo (John John Mnyika), waziri wa zamani na mbunge wa Ubungo Mh Keenja amesikitishwa na habari ya kuwa alinunua jimbo la Ubungo akiwa maeneo ya Marangu Mtoni.

Ndugu Keenja amesikika akisema "Kuna uwezekano kwamba Mnyika alishinda 2005 lakini tume ndio iliyotangaza matokeo sio mimi, ni kweli kuwa John anakubalika sana hasa na vijana ambao ni wengi pale Ubungo na lolote linawezekana kwani nimesikia hata wazee na kina mama wanamkubali sana siku hizi na nasikia amefanya kazi za kibunge japo hakuwa bungeni"

Keenja ameendelea kuonya kuwa ni hatari kwa wananchi kuanza kujenga chuki kwa wagombea kwa kuwasingizia mambo ya uongo ambayo mengi ni tuhuma zisizodhibitika, uzushi na udanganyifu.

Nionavyo huyu bwana keshapima upepo na anajua mbunge ajaye Ubungo!

Chagua CHADEMA, Chagua Mnyika mbunge, Slaa rais.
 
Nina mashaka na hii habari!

Nakumbuka ya Tunduma kama yalivyowasilishwa na huyu MTOTO WA MKULIMA pamoja na mwenzake wa 16!
"Matumoki Doyi"...(najisemea Kimaasai)
 
Back
Top Bottom