joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE: Hii inatokea wakati wanaume wa kazi wamerejea nyumbani toka Msumbiji ambako kwa wiki mbili tu walitembeza kichapo na kusambaratisha magaidi waliosumbua kwa zaidi ya miaka mitatu na kuteka eneo kubwa la kaskazini mwa Msumbiji.