KDF passout ceremony

vulcan

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,742
2,459
1568213219263.png


1568213242585.png


1568213254408.png


1568213268711.png


1568213283559.png


1568213296936.png


1568213310857.png


1568213325980.png


1568213342030.png


1568213365915.png
 

Attachments

  • 1568212959716.png
    1568212959716.png
    883 KB · Views: 21
Huwa naumia sana kila nikiona hizi picha nikikumbuka nikiwa kijana nilivyojaribu kwa kila mbinu kujiunga jeshini, maisha yangu tangu utotoni nilitaka kuwa mwanajeshi, yaani nimetimiza ndoto zangu nyingi ikiwemo ya kuwa mtaalam, lakini hii ya jeshini ilinikwepa na mpaka leo huniuma hehehehe!!

Anyway hongera sana KDF, ila ningeshauri wawe na mfumo wa kupokea hata watu wazima wakujitolea, yaani pawe na special programme ya kutupokea tupate mafunzo na kurudi kwenye shughuli zetu na kuwa tayari muda wowote kuitwa na kuitetea nchi na bendera. Kama wafanyavyo Israel.
Mimi sitahitaji mshahara yaani ile tu nimehusika kuilinda nchi yangu. Kama vipi nikajiunge French Foreign Legion
 
Waambie hao wakikuyu wakae kwa mstari ulionyooka, sio kofia zinapishana pishana kama shamba la uyoga.

By the way, namkubali sana President Kenyatta,kama mtaniruhusu nitamnunulia suruali ndefu kidogo ili aweze kuweka na mirungi kidogo kwenye soksi 'akiwa kwa kari yake aendange akitafuna' :D :D :D
 
Huwa naumia sana kila nikiona hizi picha nikikumbuka nikiwa kijana nilivyojaribu kwa kila mbinu kujiunga jeshini, maisha yangu tangu utotoni nilitaka kuwa mwanajeshi, yaani nimetimiza ndoto zangu nyingi ikiwemo ya kuwa mtaalam, lakini hii ya jeshini ilinikwepa na mpaka leo huniuma hehehehe!!

Anyway hongera sana KDF, ila ningeshauri wawe na mfumo wa kupokea hata watu wazima wakujitolea, yaani pawe na special programme ya kutupokea tupate mafunzo na kurudi kwenye shughuli zetu na kuwa tayari muda wowote kuitwa na kuitetea nchi na bendera. Kama wafanyavyo Israel.
Mimi sitahitaji mshahara yaani ile tu nimehusika kuilinda nchi yangu. Kama vipi nikajiunge French Foreign Legion
Mungu alitaka uwe mtaalam wa hali ya juu kushinda kuishi kambini ukipiga tizi. But i still respect our soldiers, they protect us. Japo ni kazi ngumu sana na ya kujitolea. Halafu kuna baadhi ya wake zao ambao wanachezewa huko kwa ploti. Ni kazi inayostahili maombi na mtu asiye na hasira za mkizi.
 
Hii camoflage ni ya kikosi kipi?
I am not sure, i may be wrong but i think hiyo ni combat fatigue ya GSU Recce squad. Fatigue au magwanda ya Kdf hayana prominent maroon colour kama hiyo. Kdf fatigue ina rangi ya brown instead of maroon. Ndio maana GSU wanaitwa maroon commandos.
 
Huwa naumia sana kila nikiona hizi picha nikikumbuka nikiwa kijana nilivyojaribu kwa kila mbinu kujiunga jeshini, maisha yangu tangu utotoni nilitaka kuwa mwanajeshi, yaani nimetimiza ndoto zangu nyingi ikiwemo ya kuwa mtaalam, lakini hii ya jeshini ilinikwepa na mpaka leo huniuma hehehehe!!

Anyway hongera sana KDF, ila ningeshauri wawe na mfumo wa kupokea hata watu wazima wakujitolea, yaani pawe na special programme ya kutupokea tupate mafunzo na kurudi kwenye shughuli zetu na kuwa tayari muda wowote kuitwa na kuitetea nchi na bendera. Kama wafanyavyo Israel.
Mimi sitahitaji mshahara yaani ile tu nimehusika kuilinda nchi yangu. Kama vipi nikajiunge French Foreign Legion
Don't regret too much,
 
Waambie hao wakikuyu wakae kwa mstari ulionyooka, sio kofia zinapishana pishana kama shamba la uyoga.

By the way, namkubali sana President Kenyatta,kama mtaniruhusu nitamnunulia suruali ndefu kidogo ili aweze kuweka na mirungi kidogo kwenye soksi 'akiwa kwa kari yake aendange akitafuna' :D :D :D
Bado wewe mwanajeshi au umestaafu?
 
I am not sure, i may be wrong but i think hiyo ni combat fatigue ya GSU Recce squad. Fatigue au magwanda ya Kdf hayana prominent maroon colour kama hiyo. Kdf fatigue ina rangi ya brown instead of maroon. Ndio maana GSU wanaitwa maroon commandos.
wrong, hao ni AP(administration police) na GSU hawaitwi maroon commandos. Maroon commandos is the name of the band (all KDF soldiers based at Langata baracks)

IMG_20190912_102858_570.JPG
 
Back
Top Bottom