Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
- Thread starter
- #21
Kuna siku nilikuambia kuwa private companies za Kenya ni Kubwa ukapinga sana.But can't give money to GoK so as it can pay for its debts
Halafu mbona kwenye debate kama hizi za Kampuni kubwa za Kenya kama KCB au Safaricom kamwe huwezi kuwapata Geza Ulole na The best 007 wakichangia?