Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,221
- 113,542
Julius, huyu mtu si anaishi Dar? Pana wakati kaka yake alijitangaza kuwa ana dada mzuri. Nafikiri ukitumia utoto wa MUJINI basi utampata kiurahisi. Au mwaga zawadi ya vidola kadhaa na washikaji watamsaka haraka sana.
Ngoja nimtafute YoYo maana naju maefulia sasa hivi. Nikimtupia vidola viwili vitatu lazima atanipatia contacts zake. Ila uoongo mbaya jameni...mimi huyu demu nimemzimia kiainaa. Sijui ni nini lakini kila nionapo picha yake moyo wangu hubadilika hali kabisa.