Loly
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 509
- 209
Heshima zenu wa kuu, kwa wale wote wanaotaabika na mambo ya msosi mchana wakiwa maofini ondoeni shaka, kwani kuna mtu anaweza kukulea chakula swaafi chenye ladha tamu kwa bei poa, halafu ni bufee
lenye wali, ndizi, supaget, kuku, ng'ombe, mboga majani, maharage, na kipande cha tunda hayo yote ni kwa sh. 4000/- tuu hadi kwa ofisi yako. Mnakaribishwa saaana
lenye wali, ndizi, supaget, kuku, ng'ombe, mboga majani, maharage, na kipande cha tunda hayo yote ni kwa sh. 4000/- tuu hadi kwa ofisi yako. Mnakaribishwa saaana