Kazi zipo ila ajira hakuna

Ni kweli, kazi zipo kibao. Nchi hii ina changamoto chungu nzima, nchi hii bado changa haina maendeleo. Inahitajika kufanya kazi kubwa sana kutatua changamoto na kufanya nchi yetu iendelee kama nchi zingine zilizoendelea.

Sema, kikwazo kikubwa kwa sasa ni 'mentality' ya kikoloni kuwa maisha ya msomi ama maisha ya kipato ni kuwa na ajira ya kupata mshahara mwisho wa mwezi.

Siku hii mentality ikifa akilini na moyoni mwa mtu ndipo atakaposhangaa ni namna gani alivyo na uwezo mkubwa wa kujipatia kipato kikubwa nje ya ajira.

Kazi zipo nyingi sana, sema tu sio za lelema unapaswa kujituma si kawaida tofauti na watu waliopo kwenye ajira. Na hapa ndipo penye shida sana watu hawataki kujituma sana, wanataka kujituma kidogo tu kama wafanyavyo wenye ajira.

Mimi nasisitiza tujitume sana maisha yatakuwa mazuri mara kumi zaidi ya walio kwenye ajira. Hii nchi ina kazi nyingi mno ila ajira ni chache sana kama sio hakuna kabisa.

Hata hivyo ieleweke tu wazi kuwa kadri muda unavyosonga mbele ndivyo hali inavyozidi kuwa complicated wala tusitarajie eti mambo yatakuwa ahueni kidogo.

Hali ya maisha ya sasa ina provide kile kitu kinaitwa 'SURVIVAL FOR THE FITTEST'. Hata waliopo kwenye ajira wanalalamika kipato kidogo, hawana future nzuri na walio nje ya ajira wanalalamika maisha magumu. Hii contradiction ndio haswa inatengeneza mazingira 'survival for the fittest, and the weak will perish'. Let's be fit.

Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, kwa nyakati hizi the strongest and luckiest people are going to shine above the weak people, yaani hizi ndio nyakati bora kabisa za watu strong and lucky. Prove yourself how strong and lucky you are, or else how weak you are!

Kwa hisani ya Tutor B
Asante sana mkuu, nimekuelewa vizuri sana.
 
Hizi story wakati unazitoa gawa na mil.5 kwa kila kijana nadhani itasaidia kutekeleza hilo wazo kwa vitendo. Laiti kama mazingira ya biashara yangekuwa rafiki vijana wengi wangekuwa na msukumo wa kujiajiri. Unakopa mtaji kwa ndugu ufanye kitu unakutana na changamoto lukuki mtaji unakata unaishia kuwa maskini tu. Maana biashara nyingi huwez fanikiwa ukiwa unaianza tu. Na trust me ukitaka ufanye biashara kwa ubunifu wa hali ya juu inataka huge investment in branding kuliko hata bidhaa zenyewe utazozalisha. Wateja ndio msingi wa mafanikio kwenye biashara, branding ni gharama sana!
Usiangalie vikwazo kwanza, angalia fursa zilizopo
 
Umenena vyema... tatizo mfumo wetu bado haupo rafiki kwa young entrepreneurs to stand on their own.

Kujiajiri inawezekana, ila kwenye nini? how does the government supports this. Unaweza kua na business idea lakini still unapaswa kulipia kodi zote na kufuata taratibu zote kama mtu aliye tayari successful kwenye business.


Cc: mahondaw
 
motivational speaakers wananifurahishaga sana, wanazungumzaga vitu vinapendeza sana masikioni kuvisikia, lakini ata wao wenyewe wanashindwa kuviapply kama ivyo vitu vingekua vinatekelezeka kirahisi kama wanavyozungumza ata wao wangekua mbali sana kimaendeleo. hawana tofauti na waganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri wakati maisha anayoishi yanatia huruma.
 
motivational speaakers wananifurahishaga sana, wanazungumzaga vitu vinapendeza sana masikioni kuvisikia, lakini ata wao wenyewe wanashindwa kuviapply kama ivyo vitu vingekua vinatekelezeka kirahisi kama wanavyozungumza ata wao wangekua mbali sana kimaendeleo. hawana tofauti na waganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri wakati maisha anayoishi yanatia huruma.
Hahahaha you nailed it!
 
motivational speaakers wananifurahishaga sana, wanazungumzaga vitu vinapendeza sana masikioni kuvisikia, lakini ata wao wenyewe wanashindwa kuviapply kama ivyo vitu vingekua vinatekelezeka kirahisi kama wanavyozungumza ata wao wangekua mbali sana kimaendeleo. hawana tofauti na waganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri wakati maisha anayoishi yanatia huruma.
Umesema kweli,maana hawa jamaa, waganga wa kienyeji, na manabii wa kizazi hiki wanashangaza sana
 
Umenena vyema... tatizo mfumo wetu bado haupo rafiki kwa young entrepreneurs to stand on their own.

Kujiajiri inawezekana, ila kwenye nini? how does the government supports this. Unaweza kua na business idea lakini still unapaswa kulipia kodi zote na kufuata taratibu zote kama mtu aliye tayari successful kwenye business.


Cc: mahondaw
Pale unapoona mfumo unazuia ndo penye fursa. Spendi kuliweka wazi Hilo Ila ukweli ndo huo, rasimisha killed kinachozuiliwa.
 
motivational speaakers wananifurahishaga sana, wanazungumzaga vitu vinapendeza sana masikioni kuvisikia, lakini ata wao wenyewe wanashindwa kuviapply kama ivyo vitu vingekua vinatekelezeka kirahisi kama wanavyozungumza ata wao wangekua mbali sana kimaendeleo. hawana tofauti na waganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri wakati maisha anayoishi yanatia huruma.
Huo NI mtazamo wako, Ila ukweli utabaki palepale.
 
Naomba mjue kitu kimoja katika ulimwengu huu, wenye pesa huwa hawana akili na wenye akili huwa hawana hela, hiyo ni kanuni ya ulimwengu mzima.
 
Mbona hakuba msamiati wowote mkuu? Jichunguze mwenyewe pia wachunguze wengine walokuzunguka utapata najibu.
Unatumia vigezo gani kusema huyu ana akili na huyu hana akili? Kwanza, naunga mkono mada yako ila nataka tufafanuliane zaidi, watu tunatofautiana sana uelewa,
Kama hutojali unaweza kufafanua zaidi.
 
Unatumia vigezo gani kusema huyu ana akili na huyu hana akili? Kwanza, naunga mkono mada yako ila nataka tufafanuliane zaidi, watu tunatofautiana sana uelewa,
Kama hutojali unaweza kufafanua zaidi.
Ulipokuwa shule so Kuna watu mlikuwa mnawasema kuwa Wana akili - let say wale top 10? Na wale wa mwisho 10 so mlisema hawana akili? Mbona liko wazi Hilo? Lakini in real life hao walokuzunguka na akili c/s wasokuwa Nazi inakuwaje?
 
Ulipokuwa shule so Kuna watu mlikuwa mnawasema kuwa Wana akili - let say wale top 10? Na wale wa mwisho 10 so mlisema hawana akili? Mbona liko wazi Hilo? Lakini in real life hao walokuzunguka na akili c/s wasokuwa Nazi inakuwaje?
Ok! Asante nimekuelewa.
Mimi hao huwa siseme "wenye akili" huwa nasema " waliokuwa wanafaulu sana darasani"

Ufaulu wa darasani pekee haupaswi kuwa kipimo cha akili ya mtu. Maana elimu inayopatikana au kutolewa darasani huwa ni sehemu ndogo mno ya maarifa yaliyopo duniani.
 
Ok! Asante nimekuelewa.
Mimi hao huwa siseme "wenye akili" huwa nasema " waliokuwa wanafaulu sana darasani"

Ufaulu wa darasani pekee haupaswi kuwa kipimo cha akili ya mtu. Maana elimu inayopatikana au kutolewa darasani huwa ni sehemu ndogo mno ya maarifa yaliyopo duniani.
Mjini umenena vyema, Ila ukifuatilia maana ya am akili utawaita hivyo tu. Kuna kkitu nitaeleza baadae.
 
Ni kweli, kazi zipo kibao. Nchi hii ina changamoto chungu nzima, nchi hii bado changa haina maendeleo. Inahitajika kufanya kazi kubwa sana kutatua changamoto na kufanya nchi yetu iendelee kama nchi zingine zilizoendelea.

Sema, kikwazo kikubwa kwa sasa ni 'mentality' ya kikoloni kuwa maisha ya msomi ama maisha ya kipato ni kuwa na ajira ya kupata mshahara mwisho wa mwezi.

Siku hii mentality ikifa akilini na moyoni mwa mtu ndipo atakaposhangaa ni namna gani alivyo na uwezo mkubwa wa kujipatia kipato kikubwa nje ya ajira.

Kazi zipo nyingi sana, sema tu sio za lelema unapaswa kujituma si kawaida tofauti na watu waliopo kwenye ajira. Na hapa ndipo penye shida sana watu hawataki kujituma sana, wanataka kujituma kidogo tu kama wafanyavyo wenye ajira.

Mimi nasisitiza tujitume sana maisha yatakuwa mazuri mara kumi zaidi ya walio kwenye ajira. Hii nchi ina kazi nyingi mno ila ajira ni chache sana kama sio hakuna kabisa.

Hata hivyo ieleweke tu wazi kuwa kadri muda unavyosonga mbele ndivyo hali inavyozidi kuwa complicated wala tusitarajie eti mambo yatakuwa ahueni kidogo.

Hali ya maisha ya sasa ina provide kile kitu kinaitwa 'SURVIVAL FOR THE FITTEST'. Hata waliopo kwenye ajira wanalalamika kipato kidogo, hawana future nzuri na walio nje ya ajira wanalalamika maisha magumu. Hii contradiction ndio haswa inatengeneza mazingira 'survival for the fittest, and the weak will perish'. Let's be fit.

Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, kwa nyakati hizi the strongest and luckiest people are going to shine above the weak people, yaani hizi ndio nyakati bora kabisa za watu strong and lucky. Prove yourself how strong and lucky you are, or else how weak you are!

Kwa hisani ya Tutor B
Mkuu ebu ni pm nitumie kinywaji baridi na kuku wa kuchoma saa hii.
 
Back
Top Bottom