Habari wakuu?
Ni kijana wa kiume mwenyewe umri usiozidi miaka 27
Nimemaliza degree katika maswala ya kodi mwaka 2014
Nilipata vikazi lakini vya mkataba(contract job) ambazo ndio nilikua nafanya up to this time ambapo mkataba umeisha na hakuna dalili za kuongezewa
Aisee nahitaji mtu yoyote mwenyewe connection hapa Dar es salaam angalau hata nipate pa kujishikiza
Siangalii malipo wakuu swala ninalotaka ni kupata sehemu yakwenda tu asubuhi mana Najua ukiwa na sehemu takutana na watu na tapata hata connection zingine
Sichagui kazi ila ni mfanya kazi mzuri a ia bidii ya kutosha
Naomba kuwasilisha wakuu huku nikihitaji msaada zaidi hata wa mawazo
Ni kijana wa kiume mwenyewe umri usiozidi miaka 27
Nimemaliza degree katika maswala ya kodi mwaka 2014
Nilipata vikazi lakini vya mkataba(contract job) ambazo ndio nilikua nafanya up to this time ambapo mkataba umeisha na hakuna dalili za kuongezewa
Aisee nahitaji mtu yoyote mwenyewe connection hapa Dar es salaam angalau hata nipate pa kujishikiza
Siangalii malipo wakuu swala ninalotaka ni kupata sehemu yakwenda tu asubuhi mana Najua ukiwa na sehemu takutana na watu na tapata hata connection zingine
Sichagui kazi ila ni mfanya kazi mzuri a ia bidii ya kutosha
Naomba kuwasilisha wakuu huku nikihitaji msaada zaidi hata wa mawazo