mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,760
Yes hiyo ndio mbaya zaidi halafu usikute ulimdanganya kuwa wewe ni Ofisa wa benki.hahaha ila inataka moyo ulikua unafukuzia pisi kali unasubiria jibu alaf unamwona huyo anakuja inabidi ule kona aisee