Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,806
Habari Ndugu zangu..
Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana, kwa upande WANGU.
Hali inayopelekea kukosa mahitaji muhimu. Hivyo Basi Kama Kuna mtu yoyote anajua au kufahamu kiwanda Chochote kinachotoa ajira. (Day worker) anipe Muongozo kwa Faida yangu na wengine pia.
Naombeni msaada wenu ili nipate kipato kwa jasho langu.
Location kigamboni dar es salaam.
Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana, kwa upande WANGU.
Hali inayopelekea kukosa mahitaji muhimu. Hivyo Basi Kama Kuna mtu yoyote anajua au kufahamu kiwanda Chochote kinachotoa ajira. (Day worker) anipe Muongozo kwa Faida yangu na wengine pia.
Naombeni msaada wenu ili nipate kipato kwa jasho langu.
Location kigamboni dar es salaam.