Kidedya
Member
- Feb 24, 2020
- 56
- 37
Wanajamvi nawasalimu kwa moyo wa upendo kabisa.
Life limenipiga vibaya hapa mjini Tanga na isitoshe bado ni mgeni mgeni
Sasa naona kabisa kazi ambayo haina mlolongo mwingi ni kupiga kazi za ujenzi kama kibarua au vyovyote vile maana nina uzoefu nayo.
Naombeni kujuzwa mahali ambapo ninaweza kwenda na ujenzi upo wa kutosha
Natanguliza shukrani
Life limenipiga vibaya hapa mjini Tanga na isitoshe bado ni mgeni mgeni
Sasa naona kabisa kazi ambayo haina mlolongo mwingi ni kupiga kazi za ujenzi kama kibarua au vyovyote vile maana nina uzoefu nayo.
Naombeni kujuzwa mahali ambapo ninaweza kwenda na ujenzi upo wa kutosha
Natanguliza shukrani