Kazi za spika na naibu Kwa sasa!

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,969
6,460
Spika; wanaosema ndio waseme ndio
Wabunge a) ndioo
Wabunge : (b) hapanaaaaaaa

Spika: waliosema ndio wameshinda kifungu kibaki kama kilivyo.
(7) iwapo mgimbea ametangazwa na time ya uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais Kwa mujibu Wa ibara hii , basi hakuna mahakama yeyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake .
Hah has haaaaaaaa
 
Back
Top Bottom